kuna ambalo amekosea hapo?.....me i see GREEN.....! GREEN LIGHT......GREEN MEANS GO.....KINANA GO.....TALK POINTS NOT PEOPLE...WHAT WILL YOU DO...AND NOT WHAT OTHERS DIDNT.....! TALK WHAT GOOD YOU DID.....AND NOT WHAT OTHERS FAILURES....!
MWANAMUME RIJALI HUZUNGUMZIA ATAKAYOMFANYIA MWALI SIO KUONGELEA MADHAIFU YA WANAUME WENGINE.....AONGELEAYE MADHAIFU YA MWINGINE HUYO DOMO ZEGE HANA SERA...(HATA KAMA MADHAIFU KWELI YAPO)
Kusema kuwa Mkapa na Lowassa walishiriki katika upangaji na uporaji wa fedha za EPA si lugha ya kistaarabu. Kusema kuwa Kikwete alisaini mikataba mibovu ya madini mwaka 1994 si lugha ya kistaarabu. Kusema kuwa Kikwete amesema atawalipa fidia wahanga wa waliozikwa hai
katika mgodi wa Bulyankulu si lugha ya kistaarabu. Kusema kidumu chama cha mapinduzi ni lugha ya kistaarabu. Mmeelewa?
Wakifuatiwa na MS mziwanda wao!Unafanana sana na Bi Sophia Simba, nyie ni mapacha?
CUF ni CCM BHivi kumbe maana ya kuleta vile vi-bylaws vya maadili ya kampeni ilikuwa ni kuhahakikisha CCM haikashifiwi? Hlafu kama ni kashfa mbona mkutano wa kampeni wa CUF ulikuwa unafanafana vijembe kama huo wa CHADEMA. Hivi si ni hawa walisema hawaiogopi CHADEMA kulikoni tena?
3. CCM haiwezi kuongelea mambo yaliyo Mahakamani
Lugha ya Kistaarabu ni Ipi? Hivi Mwizi utamwitaje?
Lugha ya Kistaarabu ni Ipi? Hivi Mwizi utamwitaje?
Lugha ya Kistaarabu ni Ipi? Hivi Mwizi utamwitaje?
MjasiliaMali Mzawa!
....na kama TBC wametumwa wasionyesehe mikutano yenu, nyie pelekeni mikutano hiyo hivyo hivyo ilivyo kwa wananchi moja kwa moja huku huku mkiwasisitiza wasisikilize tena vyombo vya habari kwa vile vimefunikwa na ufisadi kuficha ukweli huo kwa niaba ya CCM; hatua hiyo pia inaweza kusaidia kuua message za CCM zitakayokuwa zinatumwa kwa kutumia vyombo hivyo.