clemencemlai
Member
- May 3, 2010
- 24
- 2
je kumweleza mtoto mdogo ,kuwa ulipokuwa kijana ulikuwa ,natabia mbaya kwa jamii
mfano "mimi nilikuwa mwizi kitu hakinipiti,"strarehe napenda hasa ngono ,pombeka sana
dansi mpaka asubuhi. je kuna ulazima wowote kumjulisha mwanao hayo yote?
je kumweleza mtoto mdogo ,kuwa ulipokuwa kijana ulikuwa ,natabia mbaya kwa jamii
mfano "mimi nilikuwa mwizi kitu hakinipiti,"strarehe napenda hasa ngono ,pombeka sana
dansi mpaka asubuhi. je kuna ulazima wowote kumjulisha mwanao hayo yote?
.
Mzazi ni role model wa mwanae.
Cha muhimu mueleze yaliyo mema tu na si mengine