DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Simple logic ni kuwa Watu wanasema Clatous Chama anacheza chini ya kiwango kwenye big games, niwaulize swali kuna mechi ambayo Simba wamecheza vizuri then Chama hajaperform? Timu kama imeshikwa unatarajia afanye nini?
Game ya Simba vs Yanga ya 4-1, mechi ilikuwa nzuri akaonesha uwezo, mechi dhidi ya Yanga ya 2-0 akaonesha uwezo wake! Game ya Wydad home na hata away alicheza mpira kwakuwa timu inaflow vizuri na huduma zinafika kwake, ni mfano tu wa game ambazo Simba alicheza mpira.
Chama cant perform kama timu imeshikwa ila ataperform kama timu inacheza, vs Azam hata huduma kwao haifiki watu wanakata umeme katikati ulitarajia nini? Football ni collective sio Chama peke yake, Azam walihakikisha hawi huru na mpira, nafasi zilikuwa finyu.
Watu wanasahau hata game ambazo kuna muda uwezo wake binafsi unaamua game, thats football! Brilliance ipo lakini not every day na ndio maana timu zina Messi na Ronaldo na bado wanafungwa, uwezo binafsi upo ila timu lazima iwe katika level flani.
Its true ni ushindani wa Chama vs Chama, lakini lazima tutazame Simba kachezaje na Mpinzani amechezaje, mwisho wa siku thats football and Chama is the best!
Unfair kwa MVP! Top assist kwenye Premier League, moja kati ya Top scorers pale CAF na assists pia yupo miongoni mwao, tuheshimu mpira na tumheshimu Mchezaji Bora kuwahi kutokea, form is temporary but class is permanent.
Respect the GOAT @realclatouschama
JrFarhan[emoji3578]
Game ya Simba vs Yanga ya 4-1, mechi ilikuwa nzuri akaonesha uwezo, mechi dhidi ya Yanga ya 2-0 akaonesha uwezo wake! Game ya Wydad home na hata away alicheza mpira kwakuwa timu inaflow vizuri na huduma zinafika kwake, ni mfano tu wa game ambazo Simba alicheza mpira.
Chama cant perform kama timu imeshikwa ila ataperform kama timu inacheza, vs Azam hata huduma kwao haifiki watu wanakata umeme katikati ulitarajia nini? Football ni collective sio Chama peke yake, Azam walihakikisha hawi huru na mpira, nafasi zilikuwa finyu.
Watu wanasahau hata game ambazo kuna muda uwezo wake binafsi unaamua game, thats football! Brilliance ipo lakini not every day na ndio maana timu zina Messi na Ronaldo na bado wanafungwa, uwezo binafsi upo ila timu lazima iwe katika level flani.
Its true ni ushindani wa Chama vs Chama, lakini lazima tutazame Simba kachezaje na Mpinzani amechezaje, mwisho wa siku thats football and Chama is the best!
Unfair kwa MVP! Top assist kwenye Premier League, moja kati ya Top scorers pale CAF na assists pia yupo miongoni mwao, tuheshimu mpira na tumheshimu Mchezaji Bora kuwahi kutokea, form is temporary but class is permanent.
Respect the GOAT @realclatouschama
JrFarhan[emoji3578]