Matusi ya mafumbo

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Nimechoka nataka kulinda hadhi yangu je ninaweza kuchukua hatua gani za kisheria dhidi ya kinamama hawa wanaonitukania mke wangu ambaye ni mpole saana!Natamani hata kuua mtu kwani hawa watu ni wachokozi tu kwa kumwona mke wangu ni mpole na mimi niko busy sana kwa kazi.Naomba ushauri tafadhali naweza kuchukua hatua gani?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…