Maua Sama ajitokeza hadharani kuongeza matiti Mloganzila

Maua Sama ajitokeza hadharani kuongeza matiti Mloganzila

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Baada ya mashabiki kumsakama kwa muda mrefu kuhusu muonekano wake na sura kiujumla, mwanamuziki kutoka Tanzania House Of Talent (THT) Maua Sama aonesha niya yake ya dhati kuhusu kubadili muonekano wake.

Hii si mara ya kwanza kwa Maua kutaka kubadili muonekano wake ila inaonesha kilichokuwa kinamkwamisha ni maokoto, sasa kwa kuwa huduma imesogezwa mpaka hapo Mloganzira na bei pia ni ndogo safari hii Maua ameona aitumie vizuri fursa hiyo.

Kwa nchi za wenzetu ili kubadili muonekano wako haswa makalio inabidi utenge si chini ya milioni 50 ila kwa hapa bongo huduma hiyo inafanyika kwa milioni 12 tu.

Wadau mbalimbali wamshukia kuhusu uamuzi huo,wapo waliomuunga mkono na wapo waliopinga maamuzi yake.


Screenshot_20231025-121916_2.jpg
1585559851-jpg.2792270
Screenshot_20231025-125312_1.jpg
Screenshot_20231025-125519_1.jpg
Screenshot_20231025-122826_1.jpg
Screenshot_20231025-122835_1.jpg
Screenshot_20231025-122018_1.jpg
 

Attachments

  • 1585559851.jpg
    1585559851.jpg
    158.2 KB · Views: 27
  • Screenshot_20231025-122826_1.jpg
    Screenshot_20231025-122826_1.jpg
    41.1 KB · Views: 9
Hivi wakuu mwanamke akiongeza maziwa halafu akazaa mtoto atanyonya hayo hayo? Kitaalamu hakuna madhara kwa mtoto? Hasa mtoto wa kiume upande wa homoni?
 
wataalamu pia waje watufafanulie, huwa inakuwaje zile nyuzi wanashonea kwenye mwili wa mwanadamu (kwenye surgery) zinayeyuka afu zinakuwa nyama ya mwanadamu, au na plastic surgery wanaweka kitu kama zile afu zinayeyukia kwenye mwili na kuwabilika kuwa nyama? au inakuwa nusu mtu nusu plastic?
 
Back
Top Bottom