Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
🤣🤣🤣🤣🤣Demu mwenye sura ya mjomba na matako Kama anakwepa teke anawazaje kifua kikubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Demu mwenye sura ya mjomba na matako Kama anakwepa teke anawazaje kifua kikubwa.
Yawe matatu ?😁Akitoka huko atuoneshe inavokua.....na mimi nataka kuongeza nyonyo
Yawe XLYawe matatu ?😁
😁Bi. E'salt weeeh.Yawe XL
Asubiri matokeo yake uzeeni kama kweli atakubali kuzeekaBaada ya mashabiki kumsakama kwa muda mrefu kuhusu muonekano wake na sura kiujumla, mwanamuziki kutoka Tanzania House Of Talent (THT) Maua Sama aonesha niya yake ya dhati kuhusu kubadili muonekano wake
Unasubiria kuinjoi tu sio??? Hela ya surgery analipa nani hapo? 🤣😁Bi. E'salt weeeh.
Ntainjoi Sana mwaka huu.
Usiweke series za kikorea katika grupu la vitu vya kipuuzi kama hivyo.Muanzilishi wa huu uzi atakuwa anaishi Kinondoni na ni mfuatiliaji mzuri wa series za Kikorea.
Mwanaume kufuatilia series za Kikorea siwezi sema ni mbaya lakini duh! au unakuta mwanaume unawahi nyumbani uwahi kuangalia Jua Kali, inatia mashaka.Usiweke series za kikorea katika grupu la vitu vya kipuuzi kama hivyo.
😁Wapi wamesema mnalipiwa na sisi kene Hilo tangazo ?Unasubiria kuinjoi tu sio??? Hela ya surgery analipa nani hapo? 🤣
Kula kona😁😁Wapi wamesema mnalipiwa na sisi kene Hilo tangazo ?
Ongeza mzigo mamii hiyo hela tutadaiana hata akhera.
Una roho ya Nape kumbe.Kula kona😁
Demu mwenye sura ya mjomba na matako Kama anakwepa teke anawazaje kifua kikubwa.
Ukianza kuishi kwa kufuata maneno ya watu na kuwasikiliza wao wanataka uweje au kwa kuangalia watu wakupangie maisha yako basi ujue unapotea na unaishi utumwani,na maendeleo utaishia kuyaona kwenye tv tu.Aende tu akajitengeneze kwa Sababu watu wamemwandama sana