Maua Sama atoa sababu za kuachia 'picha hizi tata'

Maua Sama atoa sababu za kuachia 'picha hizi tata'

Huu wimbo we acha tu.Mtoto loyal kama askari wa Uswizi wa Papa.

Mimi nikiusikia nasikia kama ananiimbia mimi vile. Mtu hata simjui hanijui.

Na huo ndio upeo wa sanaa ya nyimbo za mapenzi.


Ahahhahahaha unajikuta sababu ya masikio kuziba?

Mi huwa natamani ndo niwe namuimbia mtu,shiiiida sasa ni hii sauti ya zege!!
 
Kaka huyu hata kwenye “Vipaja” hajafikia, vipaja huwa na msisimko unaokaribia na ukiona Paja.
Huyu ana viguu kutoka kwenye maungio ya makalio mpaka chini.
Haha,halafu anadhani sisi ni ‘mbwa’ tule mifupa..!
 
sisikii naupenda sana unatamani mtoto wa kike akuambie hivyo na sauti flani hivi ila sasa
 
GUPAJA
 

Attachments

  • 0a1f58f51bb65853bf05ac8e6b527ab8.jpg
    0a1f58f51bb65853bf05ac8e6b527ab8.jpg
    93.2 KB · Views: 92
  • 7e1995a1e8dac8b3c914d42f35e18a97.jpg
    7e1995a1e8dac8b3c914d42f35e18a97.jpg
    51.5 KB · Views: 85
Aongeze bidii, mikorogo bado haijakolea.
 
kiranga habari za siku nyingi ndugu angu eti dunia ni flat or globe

Flat ni nini?

Hata mnayoita flat yenyewe si flat.

The curvature of spacetime is curved by gravity, so around massive objects, such as the sun and the earth, space itself is bended and not flat.

Read Einstein's Relativity.Specifically General Relativity.

How can the earth be flat?
 
. hebu tuweni wakweli huyu bado mtoto kabisa... Huwezi kumuita huyu ni mwanamke ila kwa kutaka ukubwa badala aache embe likomae lidondoke lenyewe likiwa limeiva yeye atalichuma changa kisha alivumbike.... Na ndio chanzo ukubwani kuitwa breki kendeView attachment 726253
atajuta kuweka picha humu, duuuuh
 
Back
Top Bottom