Maua sama wimbo "iokote" ni mzuri ila...

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,393
Reaction score
3,237
Nimeskiliza wimbo mpya wa maua sama uitwao "iokote" aliomshirikisha hanstone ni mzuri sana ila kama anamuiga Nandy na Rubby itafika wakati tutashindwa kuwatofautisha halafu naye dogo hanstone anamuiga Diamond Platnumz, yupo vizuri akibadilika kidogo atatutoa kimasomaso huko duniani.
Good work kwa kweli
 
nyimbo kali sana sema miondoko ni ile ya kina kwangwaru ndomana umeona hance tone kaimba kama mond
Pili kumuiga mondi kwa msanii yoyote wa tanzania iwe kwaya hata ngoma ni jambo la kawaida sababu Mond ndo skeleton ya mziki wa Tanzania.
Umeona ee ina miondoko ya kwangwaru lakini inaonekana itafanya vizuri sana
 
Hii nyimbo nzuri,ila upande wa production beat yake sio nzuri kivile.Nyimbo kama hii ingempata Mika mwamba au akina Said comerien alafu bizz man akaweka vinanda ,ingekuwa bonge la nyimbo.Hata ile ya Maua na Ben pol nayo upande wa beat si kivile japokuwa nyimbo ni nzuri.Nilichogundua maproducer wengiwa tz wana lack of creativity.
 
Kweli aisee
 
nyimbo kali sana sema miondoko ni ile ya kina kwangwaru ndomana umeona hance tone kaimba kama mond
Pili kumuiga mondi kwa msanii yoyote wa tanzania iwe kwaya hata ngoma ni jambo la kawaida sababu Mond ndo skeleton ya mziki wa Tanzania.
Huyo dogo aliyemshirikisha ni mtoto wa Marehemu Banza Stone anaitwa Hanstone.
 
Kakopi kwangaru kapest I
 
Hiyo Nyimbo inaboa pale anaposema anasikia Haja!!!! sijui Haja kubwa? basi ujinga ujinga mtupu anaimba
 
Ma Maproducer weng tz sio creativity ona anakoelekea laiza iv ss anazingua naon kina harmonz washashtuka wanaend s2kizzy pia touch nae vinanda vyake vinafanana kila nyimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…