2017 No Name Senior Member Joined Jul 26, 2017 Posts 172 Reaction score 133 Sep 19, 2018 #41 Sio kwamba anawaiga Nandy na Ruby,.. Shida ni kuwa wote watatu wanaandikiwa nyimbo na THT,.. lazima wasound the same.
Sio kwamba anawaiga Nandy na Ruby,.. Shida ni kuwa wote watatu wanaandikiwa nyimbo na THT,.. lazima wasound the same.
clixus JF-Expert Member Joined Dec 4, 2016 Posts 813 Reaction score 628 Sep 19, 2018 #42 Aaah ndo wale wanajifanya wana mihela
Puna JF-Expert Member Joined Oct 9, 2013 Posts 2,551 Reaction score 4,454 Dec 4, 2018 #43 Kwakweli huyo Binti nimemzimia ingawa ana sura ngumu kama yangu. Mwenye no yake Please niwe nahariri nyimbo zake bureee. Aache na mambo ya kubanwa haja badala ya nyenge kuna Tafsida yake hapo Murua kabisa. Huu wimbo naupenda sana.
Kwakweli huyo Binti nimemzimia ingawa ana sura ngumu kama yangu. Mwenye no yake Please niwe nahariri nyimbo zake bureee. Aache na mambo ya kubanwa haja badala ya nyenge kuna Tafsida yake hapo Murua kabisa. Huu wimbo naupenda sana.