Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

serikali walifuta uganga

lakini ilipofikia kipindi cha uchaguzi wakawapa vibali
 
Kama mtakuwa pamoja na mim,matukio ya albino huongezeka sana mwaka mmoja kabla au miezi kabla ya uchaguzi?,na kama haitoshi ni wakati ambao huwa matukio haya huskika sana kuliko wakati mwingne wwote,nachelea kusema kuna uhusiano na imani za kishirikina kwani liko bayana lakini kwann wakati kama huu zaidi( na hii mdtrs mtaifuta? Jamani mmenizidia?)
 
Chanzo ni kwamba watanzania wengi wameamin imani za kishirikina sana na ndo chanzo cha tatizo hili.
 
viongozi na wanasiasa wengi wao washirikina wakubwa na wafanya biashara nao ndiyo usiseme na washirikina ......walaaniwe wote tu
 
serekali yetu sijui niseme inahusika ama inalea vitendo hivi
 
Na juzi juzi walitaka kuifuta kambi ya walemavi wa ngozi hapa dar,ili warudi tena kitaa wawapate kirahsi,wasje kuwa wakubwa haohao ndio wahuska wakuu!?
 
Point noted mkuu threesixteen,i saw a minor error thus to why neglecting,bt hpe the msg is delivered!
 
Na juzi juzi walitaka kuifuta kambi ya walemavi wa ngozi hapa dar,ili warudi tena kitaa wawapate kirahsi,wasje kuwa wakubwa haohao ndio wahuska wakuu!?

hebu muulize mh. Pinda nini kilimliza bungeni? Was he seeking sympathy or empathy from the victims? Au alikuwa anazuga siku iende? Hatua alizowaahidi zimetekelezwaje? Amefuatilia? Mbona hakuna feedback juu ya hilo? Kiukweli ana maswali mengi ya kuijibia serikali yake.
 
Wakuu hii nchi ina mambo! Kunavitu vingine ukivisikia huwezi kuamini ila vipo na vinafanyika.. Juzi nmepita maeneo fulan kimara, nkakuta gari nyingi zimepaki kwenye nyumba moja, nkauliza wenyeji kunamsiba? Wakasema hapana subr mida ya saa5 uck wakati tunakusindikiza utajua

Looooo! Salareeeee! Nakuta midume yaogeshwa uchi wa mnyama njian tena na mwanamke, aseee ndo hapo nkajua kuwa TZ n zaidi uijuavyo, usione watu wanatembea barabaran ukiona yanayofanyika kwao unaweza zimia!!
 
And no serious measures are taken toward the problem... sana kwakweli
 
Halafu tukisema wagalatia Wakiandika hawashirikishi bongo zao ndogo mnasema sisi wabaya.
Sasa we mnywa kinyesi (kichuri) inawezekana ukapata Dhehebu BILA DINI?We ndo mataputapu kweli.
Mkuu mapovu mengi sana: Jamii ya wagalatia haipo tena duniani labda kama wagusia timu fulani kule barazili.We huoni boriti katika jicho lako yanini tazama kibanzi kwa jicho ya mwingine: amakweli nyani haoni kundule :uji wa ngama na wasuna wala wewe. we kweli shageuka vampaya tayari!

Nyinyi ndo wafuata dini ndio mwateseka kwakuwa nyinyi mumeletewa dini na mukaambiwa dini yenu inatakiwa ishinde DINI ZOTE DUNIANI, Mukaagizwa mupambane kushambulia dini zingine mpaka kila mtu ajisalimishe kwenye DINI yenu ya Allah. Mukaambiwa Allah kaumba nyama ya kitimoto ni HARAMU kwenu hivyo mukiwa na nja mle nusu tu:ili musishibe. Na kwamba kitabu chenu kimeshushwa moja kwa moja kutoka peponi hivyo hakina SHAKA hata kidogo na kimekamilika kwa kila kitu, na mukapewa na ratiba ya kuswalia kwa siku waswali MARA 5 mukaambiwa wakina FaizaFoxy wanamapungufu na ikitokea unaswali akikatiza FaizaFoxy ama mbwa mbele yako wakti unaswali hiyo swala yako ni batili wapaswa rudia tena, na MKALAZIMISHWA* kufunga ambapo mchana hamuli mwakula Usiku hadi usiku wa manane kwa siku Salasini. Na mutalipizia siku sita wale mlokatiza mfungo katika zile 30.
Dini Dini Dini.. Ni Shidaaaaaaaaa
 
Mauaji ya albino ni kwa imani za kishirikina, nimekua nikiskia tu sina udhibitisho lkn kwamba viongozi wetu ni wengi wao na si wote ni washirikina wa kutupwa, swali ni je, haiwezekani wao ndio wanaowaua albino kwa imani za kishirikina? Ni sawli tu nimejiuliza nikakosa majibu kama kuna mwenye jibu.
 
Kuna kipindi kinaendelea sasa kinajadiri mauaji ya Albino yanayoendelea Tanzania. Wanajadiri kupitia kipindi kinachoitwa The Stream, ni kipindi ambacho watu kutoka maeneo mbalimbali kupitia Skype ujadiri kwa pamoja. Kuna Albino kadhaa wa Tanzania wameunganishwa.

Mhusika mmoja wapo anasema Mwaka 2009 Pinda alilia na akapiga marufuku uganga wa Tunguri, lakini baada ya Waganga wa kienyeji kuwatishia wanasiasa kuwa kama wataendelea kuwafungia basi hawatatoa huduma kwao katika uchaguzi unaofuata (2010). Baada ya mkwara huo, Pinda na serikali yake wakawaruhusu tena wapiga tunguri, na mauaji yakaendelea kama kawaida kwenye uchaguzi. Pia jamaa wanasema kuwa asilimia 60 ya Watanzania uenda kwa waganga wa kienyeji kutafuta huduma.

Al Jazeera inatazamwa na dunia nzima, hii ni aibu. Inaonesha, wakati wenzetu wanatumia akili nyingi kuvumbua mashini za kuchimba madini kirahisi na kupata madini mengi, sisi tunakimbiza Albino tukidhani wao ndio wanaoleta kwa wingi.
 
Kuna kipindi kinaendelea sasa kinajadiri mauaji ya Albino yanayoendelea Tanzania. Wanajadiri kupitia kipindi kinachoitwa The Stream, ni kipindi ambacho watu kutoka maeneo mbalimbali kupitia Skype ujadiri kwa pamoja. Kuna Albino kadhaa wa Tanzania wameunganishwa.

Mhusika mmoja wapo anasema Mwaka 2009 Pinda alilia na akapiga marufuku uganga wa Tunguri, lakini baada ya Waganga wa kienyeji kuwatishia wanasiasa kuwa kama wataendelea kuwafungia basi hawatatoa huduma kwao katika uchaguzi unaofuata (2010). Baada ya mkwara huo, Pinda na serikali yake wakawaruhusu tena wapiga tunguri, na mauaji yakaendelea kama kawaida kwenye uchaguzi. Pia jamaa wanasema kuwa asilimia 60 ya Watanzania uenda kwa waganga wa kienyeji kutafuta huduma.

Al Jazeera inatazamwa na dunia nzima, hii ni aibu. Inaonesha, wakati wenzetu wanatumia akili nyingi kuvumbua mashini za kuchimba madini kirahisi na kupata madini mengi, sisi tunakimbiza Albino tukidhani wao ndio wanaoleta kwa wingi.
Mkuu muda ulipopost mimi nlikua naangalia Aljazeera habari, sikuona hiyo habari. Lakini nlipoingia online nikakutana na hii habari inayo husiana na Tanzania

Spell of the Albino
Investigating the sinister trade in the body parts of murdered albinos in Tanzania.

Filmmaker: Claudio von Planta


Albinism is a non-contagious, genetically inherited disorder, affecting about 1 in 20,000 men and women around the world, regardless of ethnicity and geographical location. Sufferers are afflicted by a congenital absence of melanin, a pigmentation defect in the hair, skin and eyes that causes vulnerability to sun exposure and bright light. Many have very poor vision as a consequence and in tropical countries especially they can be vulnerable to skin cancers if unprotected from the sun.

What albinism is absolutely not, is an indication that the afflicted person is any way invested with magical powers.

Though it might seem absurdly obvious, the point is worth stating so starkly because in parts of sub-Saharan Africa especially, albinos have traditionally faced discrimination and prejudice - innocent victims of a still widespread belief that the condition is in some way associated with the supernatural. To some, a white-skinned African person is seen as a kind of phantom or ghost, who rather than die will dissolve or disappear with the wind and rain. As a result, in some communities, albinos have been feared, shunned and socially marginalised.

Over the last five years in Tanzania, however, the situation has become much, much worse, with albinos increasingly subjected to murder and mutilation because of a completely spurious myth that albino body parts are effective in witchcraft rituals. Despite international outrage and repeated attempts by the Tanzanian government to stamp out this truly appalling practice, since it first came to light many albinos have been hunted down and attacked purely for their limbs and organs. Indeed the incidents seem to be increasing. Since 2008, at least 62 albinos have been killed in Tanzania, 16 have been violently assaulted and had their limbs amputated and the bodies of 12 albinos have been exhumed from graves and dismembered.

Against this background, it is perhaps not surprising that estimates of the numbers of albinos in Tanzania vary significantly. Officially there are around 5,000 registered, but the country's Albino Association says the real number is in excess of 150,000. They say that many albinos are still kept hidden by their families because of the stigma some associate with the condition or because of fear that they might be attacked.

In this remarkable episode of Africa Investigates, Tanzanian journalist Richard Mgamba, albino community representative Isaack Timothy and Ghanaian investigative journalist Anas Aremeyaw Anas set out to discover what lies behind these sickening attacks and to uncover and confront some of those behind the grotesque trade in body parts for witchcraft rituals.

In the process they meet two albino children, victims of vicious assaults that occurred in the weeks the film was being made. One of them is a 12-year-old boy who had part of his hand cut off, allegedly with the connivance of his father who is now in police custody and awaiting trial. The other is a 16-year-old girl whose left arm was hacked off by a stranger with a machete.

But Anas, who goes undercover in the guise of a businessman seeking to get rich, also comes face to face with a witchdoctor who tries to sell him a potion containing ground up albino body parts. Not surprisingly, when the offer is made, Anas makes his abhorrence very plain.

Right from the start of this film, viewers may find some of the images disturbing.
 
Last edited by a moderator:
CCM inaposhindwa kulinda raia wake, nani atalinda??

Kila siku ujambazi wa kutumia silaha unaenea tanzania.
 
Mkuu muda ulipopost mimi nlikua naangalia Aljazeera habari, sikuona hiyo habari. Lakini nlipoingia online nikakutana na hii habari kutoka. Tanzania

Hii habari ngumu yaani watawala wameshindwa kuchukua hatua!
 
Back
Top Bottom