Mods ondoeni huu ujinga hapa jamvini....
Acha upuuzi Chama chako ni wauaji wa Albino.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods ondoeni huu ujinga hapa jamvini....
Mods ondoeni huu ujinga hapa jamvini....
Serikali inahusika na mauaji haya 100% percent! iko wazi kila mtu sasa amefahamu ni namna gani viongozi wa ccm wameagiza na kusimamia mauji haya ya watanzania wenzetu bila huruma kwa manufaa yao kisiasa.
Wote kwa pamoja tuwalinde na kuwanusuru waTanzania wenzetu kwa kuikataa Ccm.!!
umenikera sana kusema hii ni serikali sikivu,futa usemi wako haraka ndo twende sawa,wewe mwenyewe umekiri kuwa ccm inaua ndugu zetu leo usikivu wa hawa kenge umetoka wapi? mimi ni mbwa nitawala wote hadi kikwete ngoja kichaa cha mbwa kianze.
Mods ondoeni huu ujinga hapa jamvini....
Unatumia kiungo gani kufikiri...!!!???
Tatizo la nchi hii hakuna hatua inachukuliwa hata kama ni baya iwapo waathirika ni wananchi wasiokuwa na uwezo. Hivi serikali inataka tuamini wanashindwa kuwakamata waganga wanaohusika na shughuli hii ambayo inalitia aibu Taifa letu ulimwenguni.Ni jambo la kuudhi tena la kukatimisha tamaa kuona kuwa hadi hivi sasa hakuna mtu aliyekamatwa kufuatia wimbi la mauaji ya ndugu zetu wenye matatizo ya rangi ya ngozi ambao wanajulikana kama Maalbino.
Taifa ambalo limeweza kupelekeka wanajeshi zaidi ya 700 kwenda kumng'oa Bakari wa Comoro limeshindwa kufuatilia wauaji wa maalbino ambao wanafanya hivyo with impunity.
Hivi kwanini Rais Kikwete anaamini kuwa kwa "kukemea" mauaji hayo yatakoma? Viongozi wa dini wanayakemea na wa serikali wanatoa maonyo ati wauaji hao "wakome mara moja" tabia hiyo!
Nikiwa mmoja wa watu waliopitia elimu ya tabia naamini kuwa tunachoshuhudia ni kuibuka kwa serial killing katika Tanzania ambapo walengwa ni maalbino. Ni sawasawa kabisa na mauaji ya mfululizo yanayofanywa dhidi ya makahaba, vikongwe n.k ambayo wengi tunaamini ni "ushirikina" kitu ambacho kinatupa udhuru wa kushindwa kufuatilia.
Naamini mauaji ya maalbino yanatokana na reward ya mauaji yenyewe kwa wauajji na watu hao hawatakoma hadi watiwe pingu.
Kama tumeshindwa kuzuia wizi wa fedha za umma, ina maana kina manumba na RO wameshindwa hata kulinda usalama wa maalbino wa Tanzania?
Cha ajabu zaidi ni kuwa mpaka sasa walio shikwa na viungo vya albino ni wachungaji wa kanisa.
mkuu wachungaji wa kanisa wap na wap?Cha ajabu zaidi ni kuwa mpaka sasa walioshikwa na viungo vya albino ni wachungaji wa kanisa.
mkuu wachungaji wa kanisa wap na wap?
tayari ushachafuwa hali ya hewa wewe dada una matatizo sana.
nipe ushahidi ndo nitaamini wachungaji hawako hivyo watakuwa wanawachafua tuHaya wa kanisani. Umeridhika? au unataka ushahidi?
nipe ushahidi ndo nitaamini wachungaji hawako hivyo watakuwa wanawachafua tu
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,Bw.Zelothe Stephen aliwataja watuhumiwa wawili kuwa ni Mchungaji wa kanisa la Pentekoste Idiwili,Cosmas Mwasenga (39) na Luseshelo Mwashilindi (38) ambao walikutwa na viungo vinavyodhaniwa vya maeneo ya mikono wakipita kutafuta wateja huku wakiviita kwa jina la ¡viungo vya Kunguru mweupe¢.
Kamanda Stephen alisema kuwapolisi walipokea taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu kuwepo watu waliokuwa wanatafuta wateja wa viungo hivyo vya albino katika maeneo mbalimbali yakiwemo ya Makunguru na Mwanjelwa wakitamka jina la kunguru mweupe.
Source: Dullonet Tanzania | Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste akamatwa na viungo vya Albino.
Asante kwa ushahidi wako mzuri. Unajua Umeniongezea imani. Yesu alisema si wote waniitao bwana bwana watakoupata ufalme wa mungu. Kumbe duniani wako wachungaji wanajifanya kumwita YESU lakini mioyo yao IPO kwengine. I'm Christian Damu. I love Jesus Christ more than anything... Because maneno yake yanadhihirisha unabii aliousema unatimia.
Wako wachungaji na maaskofu wanaolawiti na kulawitiwa. Ulikuwa pia hujuwi? Unataka ushahidi?