Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Ni kweli baibo imekataza. Hivyo hamsemi mtu balo Anatumia maandiko

Papa leo nampa heko kwa aliyoyasema kuhusu vikatuni. Umemsoma? Mnatakiwa muige mfano wake na si kila kitu kushabikia kijinga tu.
 

Utajuwaje? Pole sana, hivi hujuwi wapi panapoleta mazao na wapi pasipo leta mazao? Huyo padri juu kwenye picha hapo wewe unaona panaleta mazao?
 
Papa leo nampa heko kwa aliyoyasema kuhusu vikatuni. Umemsoma? Mnatakiwa muige mfano wake na si kila kitu kushabikia kijinga tu.

Tena katika mambo yalionifanya nitofautiane na PaPA ni hapo tu: Nahop probably ameongea kwa lugha ya kidiplomasia tu. pia nadhani huwa mnabebwa sana tu kwa gharama za maisha ya watu wengine!!Huu ndo ukweli

Kwanza fuatilia ukweli huu....
kila mtu anajua Tukio la mauaji ya Cartoonists ni tukio la kigaidi. hivyo Sio tukio la waislamu kuandamana wala kugoma kuhusu mtume kuchorwa.

Cartoonists walianza miaka ya 80s kuchora mpaka Leo . hakukuwa na dini hata moja imeandamana hata huo uislamu umewahi kuandamana kwa ajili ya Salman Rushdie na mambo mengineyo LAKINI haujawahi kamwe kuandamana kwa ajili ya kuwapinga hawa Cartoonists.

Swali je muslims wamejuaje anayechorwa ni Muhammad? wamewahi kumwona kwa macho?

Iweje leo wakina papa na wenzake waanze kuunga mkono magaidi?

Kitendo cha wao, kupinga gazeti kinalenga ku-justify vitendo vya kigaidi kuwa vinazo sababu za msingi za kufanya mauaji! Eti kwa kuwa wamechukizwa.Ni wangapi duniani wanachukizwa.!!NA hutusikii wamelipuliwa??

nitoe mfano:
Ufaransa Kuna misikiti mingi ya mashoga ambayo inawaudhi baadhi ya waislamu magaidi.. Swali je ikitokea umelipuliwa msikiti mmoja wapo na magaidi, Papa huyu atajitokeza kupinga misikiti hiyo kwa hoja kama alizopinga gazeti la chalii hebdo?

Uhuru wa kutoa mawazo uko wapi? Haki za binadamu ziko wapi.?
Tunaanzaje kujustify maamuzi ya magaidi? How come?

HAwa wazungu liberals Watawezaje kuja kuzuia mauaji ya waislamu watakao retard kwakuwa tu wamewaaudhi magaidi wa kiislamu kwa kitendo chao cha kuwa apostacy.
Kama wakina Dr Ali Sina na Salman Rushdie, PAul Hussein, Omary Mfanyen,Yah Abubakary, Adam hadji n.k. huko mbeleni?
Kwani nao wanawaudhi waislamu! ten kwa mujibu wa imani yao wanapaswa kuuwawa.
wanawake wa kiislamu walioolewa na wakristo kama yule msudan wanawaudhi wasilamu na wanapaswa kuuwawa pia.

waarabu ni watu wasiotabirika: n rahisi kubadilisha equation, mfano baada ya tukio la september 11 walianza kubadilisha ukweli wakisema USA inaupinga uislamu. BAada ya ISIS wame-justfy kuwa ISIS imeundwa na MArekani. Alshababu walipopiga kenya pale shoping mall, ukiwauliza wanasema acha kenya apokee kipondo kwani nani kamtuma kwenda kuwachokoza kule somalia.kenya kataka mwenyewe, Boko haram walipopata nguvu eti rais jonathan ni mkristo ameliunda kundi lile ili awe anaiba mafuta.
kuhusu wazungu waliomwagiwa tindikali zenji; je tuseme wazungu watalii waanze kuvaa hijabu wakija zanzibar?
mtoto alikojolea msahafu kanisa likachomwa moto. Je tuwakanye watoto wasikojolee ili nyumba zisichomwe?

USA kupeleka Democrasia Afghanistan ; wanalalamika anapambana na usilamu. KWahiyo mi nasema Ugaidi hauna justification.

JE Obama na Cameruni wakishambuliwa leo tuseme ni kwakuwa wamekuwa waki lobby ushoga duniani??????
watu hawa wanaokosoa gazeti wanachukulia kwa mambo kwa sympathy jinsi waarabu wanavyohamia ulaya kama wakimbizi na kuongeza gharama za maisha ya wazungu. huku nchini kwao wakiendelea kufunguana mabucha kwa sababu kama hizo.

kule iraq ISIS wamekuwa wakiwatahiri wanawake: ukihoji utaskia hao sio wasilamu halisi. lakini hata hao waarabu hawaonyeshi Hasira za kupambana na wanaojiita wasilamu na wanawachafulia uislamu wao?TWO FACE!! Lakini wakiwachinja wasio waislamu wanaungwa mkono. ukihoji hapa watu wataanza kutukana na kufungua maandiko kwenye bibilia ili tu waweze ku-equate ugaidi wao na maandiko ya bibilia.

Ushanisoma bibie?

Ben Carson: "They(Terrorists) got the wrong philosophy, but they're willing to die for what they believe, while we are busily giving away every belief and every value for the sake of political correctness"

For the sake of political correctness: Europeans are allowing people who are exclusionary and non democratic, and totally against all civil rights, have a stake and freedoms while they represent narrow views and beliefs at the cost of depriving those rights from the people who believe in democracy, and freedom of choice. Those terrorists have all the freedoms everyone else has but wish to impose their beliefs on others with full impunity.

 
Ccm ni wahusika wakuu wa mauaji ya maalbino!!
 
Utajuwaje? Pole sana, hivi hujuwi wapi panapoleta mazao na wapi pasipo leta mazao? Huyo padri juu kwenye picha hapo wewe unaona panaleta mazao?
You make an interesting point - sijui!! I think "Mshusha verse" knows better than i.
For the Truth to become genuine, it requires no amendment or furnishing or anything whatsoever.


....Mazao?! What is mazao after all.? Wakati mwingine hata huko kwenye mazao yanaweza yasiote Lols!!
 

Kijana, shamba linapolimwa mtu hutegemea mazao mema na mazuri na binaadam hutegemea watoto wema na wazuri.

Ulitaka uandikwe upuuzi kama unaondikwa katika kitabu cha ngono? Qur'an ni muujiza na lugha iliyotumika ni lugha ya kistaarabu. Fananisha nalugha hii inayopalilia ngono ya kaka na dada:

Song of Songs 5:4 "I slept but my heart was awake. Listen! My lover is knocking: 'Open to me, my sister, my darling, my dove, my flawless one. My head is drenched with dew, my hair with the dampness of the night.' I have taken off my robe (i.e., she showed his breasts and vagina to him. Underwears and bras didn't exist back then!) must I put it on again? I have washed my feet, must I soil them again? My lover thrust his hand through the latch-opening; my heart began to pound for him." What a disgusting way for someone to talk so pervertly about his sister and/or about her brother like that!!
 
Naam, mwanamke ni konde waweza lima utakavyo.

Sasa nakuuliza wewe, unaweza lima shamba ambalo halitoi mazao? si utakuwa ni punguani?

Sasa tazama juu huko huyo padri analima nini hapo? kinyaa.

FaizaFoxy, moja ya zawadi za wanaume waislam `paradiso' ni kungonoka na vivulana viwili "vitanashati" na visivyozeeka.
 
Last edited by a moderator:

Bibie FaizaFoxy mbona basi kuna madai ya Muslims kuwa wao ndio waasisi wa "kamasutra" labda tuachane na heresy pengine...

Hii kusema makalio futi 30-40 na pepo ta mito ya ulevi na K mnato na uu.e usiolala nakadhalika na kadhalika haya we unayachukulia aje lakini?.
What is the purpose of makalio ?
What is the purpose ya mito ya ulevi,
Mabikira

Hivi bibie we unaamini kuwa utakuja kuwa sealed kama hao mahurulain?
Knini hasa msingi mkuu wa kuwa bikira?

Hivi unapenda ku-share mume? Tell me honestly from your heart.
Unapenda uke wenza?
 
Last edited by a moderator:

Jitazame hata wewe mwenyewe ni uzushi mngapi uliouzulia Uislam na Waislam, hivi hata roho yako ipo kwenye amani kweli? kila siku kutunga uongo kinyume na mafundisho ya Biblia? au biblia ndiyo inakufundisha uongo? Fikiri.

Kwa kukupa darsa tu:

Vatsyayana ndiye mtunzi wa kitabu cha Kamasutra na kingine Nyaya Sutra Bhashya.

Hata jina tu hilo linakuonesha kuwa ni Mhindu. Jee, Kamasutra kina mafundisho yepi ya Kiislam? Unataka kufananisha kitabu kinachofundisha ngono na biblia?

Sikushangai, kwa sababu nimekuwekea aya ya biblia inayofundisha ngono ya dada na kaka. Kataa kama hiyo si biblia! tena hayo ya ngono yapo mengi sana mpaka Mkristo maarufu duniani akafikia kusema Biblia ni "kitabu hatari sana duniani kifungiwe". Umesahau? jikumbushe:

George Bernard Shaw said "THE MOST DANGEROUS BOOK ON EARTH "(the Bible), KEEP IT UNDER LOCK AND KEY."

Source: https://truereligiondebate.wordpres...id-bible-is-the-most-dangerous-book-on-earth/
 

Tafuteni nanyi mtapata, ombeni nanyi mtapewa.bisheni mtafunguliwa. Bibie FaizaFoxy hata wakti wa Yesu wako walioona lakini hawakumwamini. Hakuna awezaye kumfuata Yesu asipovutwa na babae.
What else can I say
Nakushauri jaribu kutafuta ukweli pahala pengine. Ili umjue kristo. Pengine humu kwenye forum una pissed off na mabishano kiasi kuwa unapuuza hoja havi zinazotolewa
 
Last edited by a moderator:
 
Nimeisoma hii link: nikagundua bado nyinyi mnategemea ni watu wa dini zaidi. Pia ina cherry picking nyingi sana.
Yesu alibatizwa like all Christians do.!! Nt Muslims not even Muhammad himself.!!

Labda nikuulize FaizaFoxy wewe binafsi Ni kitu gani hasa kinachokuhakikishia pasi na shaka wewe kwamba utaiona pepo?
 
Last edited by a moderator:
Ndugu wanajamvi. Sina budi kwanza kuwapa pole ndugu na jamaa wa watoto waliouawa kikatili hapa Mikoa ya Mwanza na Geita. Inasikitisha sana. Tumeambiwa hapa mtoto albino aliyenyakuliwa kakutwa huko Biharamulo. Sasa serikali ifanye kazi. Namuomba Rais Kikwete atimue wakuu wa mikoa na wilaya husika (Geita na Mwanza) ili liwe fundisho kwa viongozi wa wilaya nyingine. Haiwezekani watu waendelee kuuawa halafu tukae na wakuu wa wilaya na mikoa ambao kila kukicha watu wanauawa.

Wamepewa vyombo vyote lakini hatujaona matumizi ya vyombo hivyo. Mimi nashangaa unashindwaje kutambua watu wenye ulemavu wa ngozi kwenye wilaya au mkoa wako na ushirikishe wananchi ili kuwa na ufatiliaje fulani. Hizi familia ni chache na si vigumu kuweka mitego na mikakati ya kuwafuatilia. Siku hizi kuna mitandao ya simu mahali pengi. Inakuwaje mtu ananyakua mtu toka sehemu nyingine na anasafirisha mbali toka aliponyakua? Kuna mitego kibao inaweza kutumika, lakini kwa kuwa mifumo yetu ya kuchagua viongozi hawa kinachoangaliwa umetoka chama gani.

Kama ndo hivyo basi tuendelee kulia. Hata ndani ya chama chetu tuko makada tunaoweza kuifanya kazi hii kwa ufanisi zaidi, badala ya kuendelea kuwa na watu ambao akili zao kwa sasa zinaangalia kwenda majimboni kugombea ubunge. Na vile vile wako Watanzania kibao ambao tungepewa kazi hizi matukio haya yangekoma. Tunaomba Rais afanyie kazi suala hili.
 
Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi,tutashudia mengi sana,kila aina ya vituko tutaviona watu watapiga wenyewe kwa wenyewe watachinjana watauana, watu watanunua kura albino watapotea kwa wingi sana.

Swala langu kwa wana jamii kwanini albino wanapotza sana maisha hasa kipindi hiki cha kuelekea uchanguzi? Je ni kweli baadhi ya viongozi wa kisiasa wanahusika na mauwaji ya albino kwa nia ya kupata vyeo? Naombeni jibu wana jami
wenzangu!
 
anayelia kuonyesha ana uchungu mkubwa na vitendo hivi wanavyofanyiwa albino- yeye je??
 

Mtazamo wangu inawezekana serikali imeshindwa lakini kwanini ishindwe??

Sababu;
1. Mauaji yanauhusiano wa karibu na wahusika wa ulinzi wa raia
2. Elimu hii ya kuachana na mila potofu haitolewi kwa walengwa ambao ni wanasiasa haswa wabunge
3. Elimu ya kutosha kwa wateule (watendaji wetu) inahitajika kwani ni mara kadhaa wameibuka watu wakiwa na madai ya kumwezesha mtu kuteuliwa na hatimae kupewa wazifa mkubwa na hatimae imekuwa.
4. katika kipindi hiki cha uchaguzi matukio haya huongezeka sana mfano kuua na kuchukua viungo vya mwili nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…