Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliopo gerezani kwa kua albino watawataja waganga na watu wanaowatuma halafu wanyongwe
Nadhani Albino sasa umefika wakati wa kujengewa makazi ndani ya kambi za jwtz
Waliopo gerezani kwa kua albino watawataja waganga na watu wanaowatuma halafu wanyongwe
Kilicho muhimu sasa ni kuzuia wengine wasiuwaweAlisharuhusu Pinda kiaina japo aliomba radhi.....
Kama wale magaidi wamekamatwa mrusha mabomu Arusha aliuwawa. Kwanini muua albino bado hajakamatwaHapo hakuna kusubiri ruhusa ya Serikali,ni kujichukulia sheria mikononi tu.
kama panya road alidhibitiwa kwanini muua albino ameshindikana??Albino wote watolewe huko Kanda ya ziwa na k wengineo! Wajengewe sehemu yao maalum.
Kwa style hii ambayo wanafanyiwa wataisha, serikali imsshindwa Kuwa linda ma albino.
Bora Wajengewe sehemu yao mpya!
wazo zuri sana maskini Yule Mtoto amenilizaMleta thread hapa hatuhitaji ruhusa tukikamata ni kuuwa tu......huyu ni kupigwa zaidi mwizi.....mi inaniuma sana aisee,huo ni ujinga sana kuwafanya binadamu wenzetu kama wanyama..
tutaishia kuuandugu wana jamii forum, kwanza kabisa poleni na picha ya leo iliyomuonyesha mtoto akiwa amekatwa kinyama kisha kuzikwa!
Ndugu zangu leo nifadhaishwa sana na picha ile kiasi cha kutopata usingizi vizuri. Ni ukatili ukatili wa hali ya juu.
Naomba serikali kutumia dna kuwatia nguvuni washukiwa hawa! Pili ni maono yangu kuwa serikali imeshindwa kudhibiti mauaji haya naomba wananchi waruhusiwe kuchukua sheria mkononi kumaliza aibu hii.
kwanini wanunuzi hawakamatiki?tutaishia kuua
waliotumwa
wahusika wataendelea kubaki
watatuma wengine......
Kuelekea uchaguzi
albino wako hatarini......
Ndio wanaotunga na kusimamia sheriakwanini wanunuzi hawakamatiki?