Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhe. Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametoa tamko kali la kulaani mauaji ya Albino na amesema atawachukulia hatua kali sana hao Wauaji wa ALBINO.
SOURCE: ITV Habari saa 2 usiku, Tarehe 21 Februari, 2015
Safi sana,anayesema haki za binadamu asibiri mtoto wake auliwe halafu aipate hiyo haki
Hata albino si ni binadam pia sh.enzi
Hata albino si ni binadam pia sh.enzi
Huyo 'ceremonial post' ameamua tu kuhit headlines za media.Mhe. Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametoa tamko kali la kulaani mauaji ya Albino na amesema atawachukulia hatua kali sana hao Wauaji wa ALBINO.
SOURCE: ITV Habari saa 2 usiku, Tarehe 21 Februari, 2015
Amekiri mwenyewe na we ni wa......