Mauaji ya kinyama Kenya ni kila siku na kila pembe ya nchi, serikali yazidiwa nguvu na wauwaji

Mauaji ya kinyama Kenya ni kila siku na kila pembe ya nchi, serikali yazidiwa nguvu na wauwaji

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Kenya sasa imekua ni sehemu hatari zaidi hapa duniani kuliko sehemu yoyote ile hapa duniani, mauaji ni kila siku muda na saa yoyote ile. Inasemekana kwamba unaweza kukodisha wauaji ili kumuua mbaya wako kwa kiwango kidogo sana cha pesa, chini ya $200.

R.I.P. kwa wote mliopotezewa maisha yenu.
 
Wewe umesahau mnakulaa Albino na kuwawinda kama Wanyama wa porini ama you reason like a village cockrel???? And by the way are you circumcised because all your posts point to a whistle
Hahahaha, vipi wale Jaluo mnaowachinja kila kipindi cha uchaguzi?
 
Ingependeza zaidi kama ungetangulia na Breaking News!!!, kwenye kichwa cha mada yako.
Sikuanza na " Breaking News" kwasababu mauaji Kenya ni kitu cha kawaida na kila siku, sio kitu cha kushangaza wala kustua.
 
Wewe umesahau mnakulaa Albino na kuwawinda kama Wanyama wa porini ama you reason like a village cockrel???? And by the way are you circumcised because all your posts point to a whistle

Give an incidence of albinos killings
inside the past 12 months.
 
Wewe umesahau mnakulaa Albino na kuwawinda kama Wanyama wa porini ama you reason like a village cockrel???? And by the way are you circumcised because all your posts point to a whistle


Mtu mzuri ni yule anayekueleza juu ya mapungufu yako,--- A good person is the one who tells you about your shortcomings, usikasirike.
 
Mtu mzuri ni yule anayekueleza juu ya mapungufu yako,--- A good person is the one who tells you about your shortcomings, usikasirike.
But you people are always in denial. You're allergic to truths and facts. In your country where fair and brown skin is the norm, a person who has the misfortune of being afflicted by the skin ailment albinism suffers not only social ostracism but also risks being killed for his flesh. So remove the log from your eye first!
 
but also risks being killed for his flesh.


The problem comes when you exaggerate the facts, example, look at the above quotation from your thread depicting that Albinos are killed for their flesh, that's shere falsehood and exaggeration for funny, the exaggeration and falsehood which have to be counteted reciprocitically. in this case It is you who start the fire-- you are living in glass house so don't be the first to throw stones.
 
Back
Top Bottom