Mauaji ya kinyama Kenya ni kila siku.

Mauaji ya kinyama Kenya ni kila siku.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Ninakumbuka baada ya "Forbes" kuitaja Kenya katika nafasi ya 7 duniani kama nchi hatari zaidi, nilisema kuna uwezekano mwaka ujao, Kenya ikapanda hadi namba 2. Kwa kasi hii ya mauaji mwaka huu, kuna mtu atapinga kama Kenya ikitajwa katika nafasi tatu za juu za nchi hatari zaidi hapa duniani?
 
Back
Top Bottom