Mauaji ya kinyama yaendelea kutikisa Kenya, Kenya si nchi salama kabisa.

Kenya ijufunze Tanzania kufanya mauaji ya Albino???

Hii habari ingependeza kama ungeiweka bila kuhushisha Tanzania.
 
Nchi salama wakati wasiojulikana wanawateka watu [emoji23] ebu peleka kauli hii katika yale majukwaa yenu uone jinsi watakupa za usoni!
Mimi situmii majukwaa, ninatumia ripoti za "Forbes, HRW na WPI", wote hawa wanasema uongoz, au wanaichukia Kenya?. Hahahaha, Hahahaha. Get out of denial and face reality.
 
Kenya ijufunze Tanzania kufanya mauaji ya Albino???

Hii habari ingependeza kama ungeiweka bila kuhushisha Tanzania.
Tanzania inashuka namba 54 duniani kwa Amani, wakati Kenya inashika namba 123, hii ni kwamujibu ya " World Peace Index". Je bado unahisi Kenya haipaswi kujifunza toka Tanzania ili japo ipandishe " rank" yake japo wafike namba 100?
 
Hao wanaotekwa ni minority ya walengwa wa kisiasa.
Ninyi kenge blue mnauana hovyo.
Mara mkikuyu kamuua Cohen.
Mara mbaba kamkata mapanga mkewe.
Mara mbaba kamtafuna mkewe pua na sikio.
Yani mna ukatili uliopitiliza hauelezeki.
Nchi salama wakati wasiojulikana wanawateka watu [emoji23] ebu peleka kauli hii katika yale majukwaa yenu uone jinsi watakupa za usoni!
 
Umesikia ripoti yeyote mwaka huu au hata mwaka jana kufa kwa albino??
Msijifariji kwa past stories.
Yani Tz tukio linafanyika moja moja lakini Kenya ni frequently killings mbaya sana.
Kenya ijufunze Tanzania kufanya mauaji ya Albino???

Hii habari ingependeza kama ungeiweka bila kuhushisha Tanzania.
 
Mimi situmii majukwaa, ninatumia ripoti za "Forbes, HRW na WPI", wote hawa wanasema uongoz, au wanaichukia Kenya?. Hahahaha, Hahahaha. Get out of denial and face reality.

Ikiwa mwanajeshi anauliwa, wewe upo salama?
 
Askari wa JESHI la akiba, umeskiza lakini?
Kenya wastani wa watu 5 huuliwa kila siku. Ndio sababu kunaifanya Kenya kushika namba 7 duniani katika kundi la nchi hatari zaidi (Forbes 2019)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…