Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?

Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?

Inaumiza sana, watu wamechangia mengi mazuri. Swali langu mim ni hili ivi Kama mtu anaujasiri wa kuvamia gari ya police ikiwa kwenye mwendo anamlenga dereva, bila shaka huyu ni mjuzi wa kutumia silaha sasa kama si gaid ujuzi huu anautoa wapi + ujasiri bila kusahau roho mbaya? Pia swali lingine ninalo jiuliza ivi kweli watanzania tupo salama? Maana nionavyo mim huyu mtu angeamua kuua raia tu, si angemaliza kijiji kizima jmn?
 
Ni Ugaidi(Kulipiza Kisasi),Jeshi Letu Lijisahihishe kuondoa uhasama kati ya Raia na Wao.
King kong,unayosema yanafanana,matokeo mengi yanatokea ya raia kuuwawa halafu serikali kutojali,haya ndio ndio mazao yake ni haya,waliuwawa vijana kule mkuranga wakatupwa mto ruvu,na vile vile hivi karibuni masikini vijana wa kimasai nao waliuwawa mkoa wapwani,ni kweli jeshi letu lijisahihishe kuondoa uhasama na raia,serikali imekuwa haijali kuanzia vitendo vya utekaji na uvunjwaji wa sheria vinavyofanywa vyombo vya usalama,na polisi,bila ya kutolewa Kauli thabiti kutoka Kwa viongozi wakuu wa nchi,na badili yake kumekuwa na ubabe na propaganda za ukandamizaji,zinatolewa na viongozi wakuu wa polisi,serikali imekosa kuwapa haki zao hata wabunge waliochaguliwa na wananchi,kabla ya kuendelea kwanza natoa pole kwa wazee ndugu na jamaa waliopoteza Jamaa kattka tukio hili.
Amani haiwezi kupatikana bila ya kuwepo kwa kuaminiana baina ya raia na vyombo vya kulinda Usalama,nguvu na ukiukaji wa misingi ya sheria ya utawala bora,ni misuguano inayokiuka haki za kibinaadamu,naongezea kwamba katika siku za karibuni kumesikikana,mambo mengi yanayokiuka sheria na haki za uraia.
Ushauri kwa serikali
Kuwasiliana na wazee katika sehemu ambapo vitendo hivi vya uvunjifu wa amani vinatokea na kutengeneza na kuboresha mahusiano,Kwa wazee na vijana,ill kurejesha Imani iliyokuwepo kabla.
Jambo lingine ni serkali kuunda muundo mpya wa kisheria,Kwa kushirikiana na chama cha wanasheria,kuunda muundo mpya wa kisheria kuanzia polisi mpaka mahakamani,wilayani,mikoani,itakayoleta haki Kwa raia na vyombo vya usalama,bila ya upande wowote kuikandamiza haki ya upande mwingine,hii itapelekea kuleta imani Kwa wananchi na kuboresha amani.
Mwisho watanzania Kwa pamoja bila kujali itikadi za kidini,vyama vya siasa na jinsia,tuungane Kwa namna kupinga uvunjwaji wa amani,na tuwe tayari kuinunua amani Kwa thamani yoyote.
Mwenyenzi Mungu ibariki Tanzania
 
Kwa sababu mawazo mazuri yameshatolewa hapa mimi nitachukua shortcut moja tu
***JESHI LA POLISI LIFUMULIWE KABISA ***
tuweke uongozi wenye dira ya kuboresha uwezo wa polisi kivifaa, kielimu, kimkakati na kiakili.
Vision ya jeshi letu sasa hivi ni kukandamiza upinzani kwa matarajio ya kupata promotion.
Hao ndo wanapandikiza chuki dhidi yao wenyewe na dhidi ya serikali.
Naamini siku jeshi la polisi likiacha kufanya kazi kisiasa na upinzani unakufa Tanzania.
Tusifike pahali ambapo wananchi wa kawaida wanafurahia polisi kuuliwa.

Ni vigumu kujua motive ya hawa watu ila ukweli ni kwamba they are up to something big. Pengine wapo kwenye hatua za awali tu za a kukusanya silaha na polisi wetu ndio easy target kuliko ku-smuggle.

It doesn't matter kama huu ni ugaidi au ujambazi au vyovyote vile . The point is you have 8 SMGs in the wrong hands. Zisiporudishwa ndio huishia kufanya massacres kwenye majumuiko huko mbeleni.
Nashauri hivi
1. Jeshi la polisi (hapo mbeleni) watoe kauli ya kutofanya kazi kwa namna yenye harufu ya upendeleo wa kisiasa (kauli ya juu juu tu inatosha , sio lazima wa-admit kuwa huwa wanafanya hivyo!)
2. Jeshi la polisi litengene open channel ya kupokea anonymous tips,
4. Tuunde kikundi cha Rapid Containment Unit chenye vifaa na "akili" za ku-handle situations kama hizi (I mean wasio form four failures)
Ikitokea situations kama hizi ni kuweka lock-down hata kama ni wiki nzima na kutafuta wahalifu. (Hakuna kuingia ama kutoka bila kukaguliwa) wapewe helicopta yenye infra-red night vision technology)
5. Jeshi la polisi liandae forums/open consultation meetings na wananchi kutafuta maoni ya jinsi ya kushirikiana na jinsi ya kuboresha jeshi hilo


Sikitiko langu kubwa hasa ni kwamba mawazo mazuri yaliyotolewa humu Jf kutozingatiwa na wahusika.
 
Wao wapo busy na tochi tu,utawakuta trafki na polisi wa kawaida wooote wanahangaika na tochi tu
 
Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?.

Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?,

Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.

Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?.

Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefu Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.

Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?.

Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!

RIP Askari Wetu.
Nini Kifanyike? .
Ijumaa Kuu Chungu!.
Paskali
Update 1.

Thanks very objective.

Paskali
Update 2 ya michango very objective

Thanks kwa mchango huu, very objective
Paskali
Update 3.
Huu ni mchango very objective

Thanks for this.
Paskali
Shhhhhheeeeeeeednzzzzzzzzi nyangau kuna ngaruwe pori amehusisha haya mambo na dini ya Uislam halafu mtoa mada Thanks very objective ingeongelew ukatoliki wenu ungekuja kutoa povu hapa.
 
Kuhusisha mambo ya mauaji na dini ya uislam.
Beautifulgirl
ukinionyesha hata neno moja tuu kwenye thread yangu ambayo nimehusisha mauaji haya ya polisi na dini ya Kiislamu, nitakushukuru sana!.
Ukikosa hata neno moja tuu, then just say sorry na yaishe.

Humu jf tuko watu wengi wa makabila tofauti, umri tofauti na uwezo tofauti.
Kwa mtazamo wangu, wewe unaonyesha ni binti mdogo unaweza kuwa ni mwanangu wa kumzaa, hivyo mimi naweza kabisa kuwa ndiye baba yako, hivyo kumtukana baba yako au mtu wa umri wa baba yako bila kosa sio tuu ni kujichumia dhambi bali unajitafutia laana za bure!.

Ukijimlisha na kabila langu, kutukanwa na mwanamke ni dharau kubwa sana kwa kabila langu, hivyo nakushauri just say sorry kabla karma ya matukano yako hayajakushukia.

Paskali
 
Raia walitekwa kelele zikapigwa...
Wabunge walitekwa na wametishiwa kutekwa, kelele zikapigwa...

Wabunge wenye weledi wakataka kuwe na mjadala.

Viongozi wa wabunge wakasema hayo si mambo ya muhimu kujadiliwa.

Basi hata hili tuliache...tufanye kazi...tufanye kazi tu.
 
kuna watu hawatanielewa ila hayo ndio mapendekezo yangu. hii inaweza kusaidia kupunguza au kudhofisha hali ya mauaji ya raia yanayoendelea huko.

nawasilisha
 
Baada ya Mhe. Zitto kushikiliwa na polisi kwa tuhuma za kulichafua jeshi la polisi, nafanya tuu rejea ya kuangazia usafi wa jeshi letu la polisi.
Tuungane kuombea Zitto atendewe haki, lakini pia tusiache kulitaka jeshi letu la polisi, wajitathmini
Paskali.
 
Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?.

Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?,

Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.

Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?.

Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefu Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.

Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?.

Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!

RIP Askari Wetu.
Nini Kifanyike? .
Ijumaa Kuu Chungu!.
Paskali
Update 1.

Thanks very objective.

Paskali
Update 2 ya michango very objective

Thanks kwa mchango huu, very objective
Paskali
Update 3.
Huu ni mchango very objective

Thanks for this.
Paskali

Wanabodi,

Wewe kama mwana JF, unapata an added advantage to be the first to know, ambapo leo katika tukio la maboresho ya jeshi la polisi, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ametoa kauli kwa kutumia fasihi, ambapo ameliamuru jeshi la polisi, kukabiliana na majambazi wenye silaha kwa "kuwanyang'anya silaha kwa haraka haraka" ambapo polisi wameruhusiwa kutumia mbinu za medani, (kivita) (MM) ambazo hutumiwa na majeshi wakati wa vita, ambapo kazi huwa ni moja tuu, kumteketeza adui!.

Amri hiyo kwa Jeshi la Polisi, inamaanisha, Polisi hawahitaji tena kuwakamata majambazi wanaotumia silaha, bali kukabiliana nao kwa kuwaua papo kwa papo, na polisi wataofanya mauaji hayo ya kuwauwa majambazi hayo papo kwa papo bila kuwapeleka mbele ya vyombo vya sheria, hawatafikishwa tena mahakamani, kama zamani, bali sasa watapandishwa vyeo!.

Agizo hilo limepokelewa kwa shangwe na makofi kwa kila aliyekuwe pale ila makofi ya ajabu ni ya IGP Ernest Mangu, aliitikia kwa kichwa as if ni amri halali. Kazi ya polisi ni kulinda raia na mali zao. Kazi ya jeshi ndio kuua adui. Sasa CinC anapotoa amri ya jeshi kwa polisi halafu IGP anashangilia, hii inaonyesha IGP Mangu is wrong man at a wrong place!. Sisi wengine seriousness ya mtu unaiona usoni, it's very unfortunately sijawahi kuiona hiyo serious face ya kijeshi kwenye uso wa IGP Mangu, sasa kama CinC ni dikiteta halafu IGP ni soft, sijui kama ataweza ku cop nae!. Let's wait and see.

Rais huku akisema kwa msisitizo kwa kutumia fasihi ya "kuwanyanganya silaha kwa haraka haraka", kwa vile majambazi wanatumia silaha, zenye risasi kufanya ujambazi, na jeshi la polisi nalo wanazo silaha zenye risasi, haoni kwa nini majambazi hayo yasinyang'anywe silaha zao kwa haraka haraka!.

Namna pekee ya kunyang'anya silaha jambazi mwenye silaha, ni kwa kumalizana nao, papo kwa papo kabla silaha hiyo haijatumika.

Sina shaka kabisa na nia njema ya dhati ya rais wetu Magufuli kwa jeshi letu la polisi na Watanzania kwa ujumla kufuatia kukithiri kwa vitendo vya ujambazi wa kutumia silaha, hivyo rais ametoa amri, hiyo, kufuatia nchi na wananchi kuchoshwa na vitendo vya ujambazi kuongezeka, vituo vya polisi kuvamiwa na polisi wetu kuuwawa.

Lakini pamoja na nia njema rais wetu, katika utekelezaji wa amri hiyo, ni kuwatangazia vita majambazi wanaotumia silaha kuwa ni "ama zao ama zetu". wakijua kuwa wakikamatwa tuu watauwawa right away, then, amri hii badala ya kupunguza ujambazi wa kutumia silaha, ndio kwanza inaweza kuchochea impunity kwa majambazi wanaotumia silaha, kuzitumia silaha hizo kwa kuwawahi polisi na chochote kilichopo mbele yao, na wakati huo huo kuligeuza jeshi letu la polisi kugeuka Gestapo!.

Lengo la Majambazi Wanaotumia Silaha.
Lengo la ujambazi wowote ni kuiba mali. Majambazi wanatumia silaha, lengo lao sio kuua bali kutumia silaha hizo kutishia na kukiwepo resistance ndipo hutumia kuua ili kulazimisha, kujihami au kupoteza ushahidi.

Sio majambazi wote wanaotumia silaha, huzitumia silaha hizo kufanyia mauaji!, sio silaha zote zinazobebwa zinakuwa loaded!, wengine huzitumia kutishia tuu, lakini hawana nia ya kufanya mauaji, na kuna wengine hubeba silaha ambazo hazina risasi, na wengine hutumia toy pistor
true!,na majambazi wengine, hubeba silaha, na ziko loaded, lakini hawafanyi mauaji baada ya kupata walichotaka!.

Tumeshuhudia majambazi yakiingia bank kuamrisha wote laleni chini. Wanapora kisha wanakwenda zao bila kufanya mauaji yoyote!. Tumeshuhudia mabasi yanatekwa, abiria wanashushwa wanasachiwa wanaporwa wanachiwa uhai wao.

Lakini kufuatia amri hii sasa, hao majambazi wenye huruma na maisha ya watu, hawatakuwa na huruma tena, na kama polisi ndio kwanza wamekuwa licenced to kill kwa mtindo wa MM, then every encounter kati ya majambazi na polisi na majambazi, tutegemee nothing, no justice but just blood bath!.

Tangazo hili litawaponza polisi wetu kugeuzwa an easy target ya majambazi wanaotumia silaha kwa kuwatarget kwanza polisi wa doria na kuwauwa wote kisha ndipo wafanye ujambazi wao na sijui kama hata wale wanaotumia silaha kwa lengo la kutishia, wataendelea kutishia au sasa watazitumia ipasavyo?!.

Tanzania ni nchi ya kidemokasia inayofuata katiba yenye kuzingatia misingi ya haki na utawala wa sheria!, amri kuu ya kwanza ya haki, ni "no one is condemned unheard", yaani hakuna mtu atakayehukumiwa bila kusikilizwa!. Amri hii ya rais, imewapa mamlaka polisi, sio tena kuchunguza, kukamata na kuwapeleka majambazi wanaotumia silaha, mbele ya vyombo vya sheria ili sheria ifuate mkondo wake, bali sasa polisi hawana tena haja ya kukamata na kufanya uchunguzi, bali kukitokea tuu tukio la uhalifu wa kutumia silaha, polisi wamepewa mamlaka kuwa ni wachunguzi, prosecutors, mahakimu tena kwa kutoa "capital punishment", na hakuna tena haja ya kumsubiri rais kuzisaini hizo hati za capital punishment, bali, wao wenyewe kutumia MM, kuitekeleza adhabu ya kifo, na baada ya hapo kusubiria kupandishwa vyeo!.

Just imagine mashindano ya kupanda vyeo miongoni mwa polisi wetu!.

Kama wanasheria wetu, hawatashitushwa na amri hii ya rais, nitaamini sasa Watanzania wameanza kumwelewa rais wetu, na ukiisha elewa, huna haja ya kuhoji!.

Angalizo: Sitetei vitendo vyovyote vya uhalifu wa aina yoyote, bali natetea utoaji wa haki!, hata jambazi anayetumia silaha, anastahili kutendewa haki!. Natolea mfano wa nchi mbili za Marekani na Uingereza. Miaka ya nyuma nchi zote hizi zilikumbwa na vitendo vingi vya mauaji kwa kutumia silaha, na zote ukipatikana na hatia ya 1st degree murder, unahukumiwa adhabu ya kifo. Uingereza ikafuta adhabu ya kifo!, vitendo vya mauaji, vikapungua kwa kiasi kikubwa!. Marekani ikaendelea na adhabu ya kifo, vitendo vya mauaji bado vimeongezeka!.

Amri ya kuwaua majambazi papo kwa papo, sio lazima itapunguza ujambazi, inaweza kuwa haitapunguza ujambazi, bali itawafanya hao majambazi ndio kugeua wauwaji wakuu, kwa hoja za "ama zao, ama zetu" na kwenye tukio lolote la ujambazi wa kutumia silaha, polisi wakitokea, sasa sio tena kutuliza amani bali kufanya a blood bath!, hivyo polisi sasa pia wanaweza kuwa ni an easy target ya majambazi!.

Kwetu sisi waandishi, ikitokea polisi wakakutana na gun mike, au boom mike, au hata kamera wakaiona ni kama sihaha!, kama ilivyotokea kwa Daudi Mwangosi!, askari mhusika, atapandishwa cheo!. Kama wale vijana wa Zombe, sasa watazawadiwa vyeo!.

Huko nyuma niliwahi kushauri, kama katiba ni kikwazo, rais Magufuli, aiweke pembeni kidogo hii katiba na badala yake atawale kwa kutumia 'presidential decrees' tuu!. Hivyo kwa amri hii ya polisi kuua majambazi papo kwa papo, kama mahakama ni kikwazo, pia anaweza kuiweka mahakama, pembeni kidogo, kwa kuwapatia polisi uwezo wa kimahakama kwa kutoa hukumu za kifo cha papo kwa papo kwa majambazi wanaotumia silaha, tena hatua itaokoa sana fedha nyingi, maana majaji wa mahakama zetu, wanahudumiwa kwa gharama kubwa sana!.

Wasiwasi wangu kwa amri kama hizi, sio ili kuokoa maisha ya majambazi wanaotumia silaha, au kuwaacha tuu majambazi wanaotumia silaha kuua, lakini pale polisi wetu watakapo wahiwa na kuuliwa kabla, tuta
piga tuu kelele, no!, wasiwasi wangu ni utekelezaji wa amri za aina hii, zisije kuwa kwa majambazi ni mwanzo tuu, baadae amri kama hizi za 'kinyemela' zikaelekezwa kwa makundi mengine, yanayoonekana ni kero!.

Mwaka 1976, kulifanyika mauaji ya wazee waliokuwa wakituhumiwa kuwa ni wachawi. Serikali kupitia waziri wa Mambo ya Ndani kipindi hicho, Ali Hassan Mwinyi, kupitia Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mwanza, chini ya RC Peter Kisumo, RSO, RPC, DSO, na OCD wakadhamiria kwa kauli moja kukomesha vitendo hivyo kwa hizo hizo MM alizoamrisha Magufuli zitumike!.

Katika Mahojiano, yaliyoendeshwa eneo la Kigoto, watuhumiwa wawili, Masanja Makula Mazengenuka, na Isaack Mwanamkoboko, walipoteza maisha!.

Mwalimu Nyerere alikasika sana, Waziri Mwinyi, IGP, Pundugu, Director wa TISS Mzena, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Kisumo, RSO, RPC, DSO na OCD wote wakastaafishwa kwa manufaa, na wengine kupandishwa kizimbani, ambapo wote walifungwa, isipokuwa mshtakiwa mmoja tuu ambaye ni Mzee wangu, tena aliokoka kwa vile tuu alikuwa anatetewa na wakili Murtaza Lakha!.

Utendaji wa Jeshi la Polisi unaongozwa na kitu kinachoitwa General Police Orders (GPO or GOP) ambacho tumekirithi kutoka kwa Waingereza kama tulivyorithi sheria zetu mbalimbali, ambazo zina maelekezo yote ni kwenye mazingira gani polisi anaruhusiwa kutumia silaha kuwadhibiti wahalifu na kuna polisi maalum wa kazi hiyo wanaoitwa snipers au wadunguaji, ambao wana shabaha na uwezo wa kulenga maeneo rasmi ya kulenga ili kumdestabilize mhalifu kwa lengo la kumkamata lakini sio kwa lengo la kumua!. Agizo la jana la Rais Magufuli, ni kuwaelekeza polisi kuua tena kwa haraka bila kuchelewa, na sasa kwa kila mauaji ya polisi, polisi hao badala ya kupandishwa kizimbani, sasa watapandishwa vyeo!.

Japo lengo la agizo hilo la rais, amelitoa kwa dhamira njema,(in good faith), lakini utekelezaji wake, unaweza kuligeuza jeshi letu la polisi kugeuka Gestapo!, na polisi wetu wakafanywa ni asusa ya majambazi wanaotumia silaha kwa kuwa wahi kabla hawajawahiwa!.

Kama sheria, taratibu na kanuni zipo, kwanini zisifuatwe?. Kama zimepitwa na wakati na imethibitishwa hazisaidii, tuzibadili rasmi.

Nalishauri Jeshi la polisi litoe takwimu za matukio yote ya ujambazi wa kutumia nguvu kumetokea vifo vingapi vya askari na raia kabla ya amri hii na takwimu za baada ya amri hii.

Hata Adofu alipoanza, alianza hivi hivi kwa kuwa a populist leader, anayeshangiliwa sana na umati wa watu!, ni baadae sana, ndipo watu wakaja kugundua, walimshangilia kila alichofanya akafikia kuwa unstoppable, by the time wanashtuka, it was too little too late, wakaishia kujuta!, kwa upande wetu, chonde chonde twendeni taratibu jamani, tufungue macho kuhusu hizi amri za mdomo ambazo hazijaandikwa popote, tushtuke mapema before it is too late, tusije kujuta!.

Jumamosi Njema.

Paskali
Rejea.
Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know ...
IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality
Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa .
Simshangai Pasco wa JF tu; hapana, nawashangaa waandishi wote wa ..

Wanabodi, katika bandiko hili, niliilaumu amri hii ya JPM, lakini tukio la leo, la kichaa mmoja kutuulia polisi wetu 3 na mlinzi mmoja, leo sasa ndio nimegundua JPM aliona mbali.

Ningekuwa mimi ndio kiongozi wa operation ile, ningetumia snipers kumshoot strategic areas to destabilize him, ili abaki hai kwanza, and they make him talk before they are done with him ili tujue the motive and the ring. Kitendo cha kumalizana nae, there and then, then police have lost everything.

RIP askari wetu wa polisi, RIP Mlinzi wa kampuni binafsi, na pia RIP Jambazi, Gaidi, besides everything, he was a human being, he deserves some dignity!. Na kwa msio jua, hata Osama, pamoja na ufirauni wake wote aliofanya kwenye September 11, baada ya kuuwawa kikatili, mwili wake ulioshwa Kiislamu na kuswaliwa na Sheikh, kisha alizikwa Kiislamu na kutazamishwa kabila!.

Japo JPM, haupo nasi, lakini uliona mbali, amri yako ndio imeanza kutekelezwa, nakuomba Rais Mama Samia, ili kumuenzi JPM, wapandishe vyeo askari hao mashujaa.

P
 
Wanabodi, katika bandiko hili, niliilaumu amri hii ya JPM, lakini tukio la leo, la kichaa mmoja kutuulia polisi wetu 3 na mlinzi mmoja, leo sasa ndio nimegundua JPM aliona mbali.

Ningekuwa mimi ndio kiongozi wa operation ile, ningetumia snipers kumshoot strategic areas to destabilize him, ili abaki hai kwanza, and they make him talk before they are done with him ili tujue the motive and the ring. Kitendo cha kumalizana nae, there and then, then police have lost everything.

RIP askari wetu wa polisi, RIP Mlinzi wa kampuni binafsi, na pia RIP Jambazi, Gaidi, besides everything, he was a human being, he deserves some dignity!. Na kwa msio jua, hata Osama, pamoja na ufirauni wake wote aliofanya kwenye September 11, baada ya kuuwawa kikatili, mwili wake ulioshwa Kiislamu na kuswaliwa na Sheikh, kisha alizikwa Kiislamu na kutazamishwa kabila!.

Japo JPM, haupo nasi, lakini uliona mbali, amri yako ndio imeanza kutekelezwa, nakuomba Rais Mama Samia, ili kumuenzi JPM, wapandishe vyeo askari hao mashujaa.

P
Polisi wamemmaliza kuficha ushahidi....Jamaa inasemekana amedhulumiwa Madini Dhahabu na askari.
 
Polisi wamemmaliza kuficha ushahidi....Jamaa inasemekana amezulumiwa Madini Dhahabu na askari.
Tumuombe rais Mama Samia aunde Tume huru kulichunguza hili tukio. Inawezekana ni kweli jamaa alikuwa provoked, due to provocation akapata pseudo insanity, ndio akawawasha polisi waliomprovoke na kuzichukua silaha zao na kuwa target polisi tuu!.

Niliwahi kushauri

Kwa vile tayari kuna tuhuma za polisi kuhusika, you can't be a judge on your own case!.
RIP Askari wetu.
RIP Mtuhumiwa.
P.
 
Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?.

Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?,

Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.

Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?.

Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefu Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.

Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?.

Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!

RIP Askari Wetu.
Nini Kifanyike? .
Ijumaa Kuu Chungu!.
Paskali
Update 1.

Thanks very objective.

Paskali
Update 2 ya michango very objective

Thanks kwa mchango huu, very objective
Paskali
Update 3.
Huu ni mchango very objective

Thanks for this.
Paskali
Ndugu
nasikitika kukuambia kuwa uko very shallow na hii habar ya ugaidi mana unasema cjui majambazi wakat alikuwa mmoja

pili unaongea pumba , hakuna uhalisia wowote eti polisi wapewa license to kill wakati kila siku wanaua majambazi na huyo jamaa kauwawa .

katika uzi uloandikwa hauna kichwa wala miguu ni huu

Kuwa busy na vitu vingine
 
Kweli vifo vya askari wetu ni jambo linalomsikitisha kila raia mpenda amani, lakini kikubwa ninachokiona hapa na hasa hii awamu ya tano ni kiongozi mkuu kutopenda ushirikiano ulikuwa unasaidia kupatikana taarifa kati ya police na raia. Tumeona rais aliyotumia nguvu nyingi kuzuia police jamii wakati hilo liliwekwa kwa ajili ya kupunguza uhalifu kama huo
mzee usikurupuke eti raia wapenda amani

ushawahi ona ndugu yako anapigwa na polisi ?

polis!! wa sasa wamezidi tamaa na kubambikia watu kesi ,mm binafsi cjaumiaa
 
Back
Top Bottom