Mauaji yazidi kutikisa nchini; Maiti tatu za wanawake zaokotwa kando ya mto jijini Mwanza

Mkuu mbona watuwekea picha ya mto uliopo Kenya iliyotumika Kenya mwaka 2012?

 
Here hii hali imejirudia Tena !?? It means we are not safe at all ,,
 
Tupostie izo taarifa!!
maana ujue kutofautisha wahaini na raia

sasa ao wanawake n wanauhaini gan
Fikiria tu braza hawana kosa kabisa. Lakini jiwe anafufuka na kuwaua halafu tena anakimbia kujificha kuzimu. This time tunamlia taiming. We will permanently fix him up.
 
Huyo pimbi mambo yake hayataisha leo,wengi watakuwa wanaiga mambo yake hasa ubanaji wa democracy
Wenye mimba za chuki za
Mwendazake mnapata tabua.Hivi kipindi kile Dr Ulimboka anatekwa ,Kubenea anamwagiwa tindikali,je Rais alikuwa huyo pimbi unaye mtaja?
 
 
Kwa hiyo mabalozi wa nchi za nje wakisema huko sio salama msilalamike
Kama hawayajui ya kwenu kutoana kafara au wivu
Wao wanawaweka kwenye kundi la magaidi tu maana hawajui mengine
Ujangili, wizi, majambazi wa silaha na ajali zenu za kila leo ndio wanalalamika
Msikatae kuna tatizo kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…