Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo brother tukiliacha hili Ni tatizo pia kwetu sababu Hawa ndio Wake zetu au hawa wanaenda kuwa marafiki wa Wake zetu. Pia Mabinti zetu wanaweza kujifunza Kupitia hawa.Relax bro,jamii zimebadilika sana tofauti na zamani.Zamani kukuta single maza ilikuwa rare,cku hizi wamejaa kuliko hata wenye ndoa.Nao lazima wapate wazungumzaji.Udhaifu wa mwanamke uko kiasili tangu anaumbwa,kila alichopewa kiko limited kuanzia akili mpaka nguvu za mwili.So hata iweje haitotokea wanawake wakawa juu ya wanaume.Wanachopigania ni recognition tu.
Ni kweli Mkuu ni wale wanawake waliojikatia tamaa kuhusu kupata familia bora ubaya zaidi wanataka na wanawake wote waamini kuwa Suala la familia bora HALIWEZEKANI.Wanawake wanaoanzisha mada chonganishi zinahusu mahusiano 90% ni single mother au walilelewa Na single mother.......
Hapa umesema ukweli ambao wanawake wa kisasa hawataki kuuishi. Wanaona kumtii Mume ni kujidhalilisha (Utumwa)kitu wasichojua wanawake ni kwamba mwanamke mtii (utii wa dhati sio wa kutak kuomba kitu)kwa muwewe huwa wanapewa heshima kubwa na waume zao.
Ni kweli Mkuu Mamlaka husika ziingilie kati hakuna cha maana wanachokitengeneza katika jamii.Joyce Kiria na wale wa EATV ni feminists wanaoharibu kizazi cha mabinti wanaokua
Wana mada ovu sana zinazoharibu maadili ikiwezekana vipindi vifungiwe
Huo ni ukweli usio na shakaMkuu Umesema ukweli mtupu.