Maujuzi ya Zahera game expire

Maujuzi ya Zahera game expire

HPAUL

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
410
Reaction score
567
Jamani wote mnaofuatilia TPL na Azam Confederation Cup, kuna kitu mtakuwa Mme note, kama mechi 10 mwisho za mashindano hayo ambayo Yanga imecheza kiwango kimeporomoka vibaya, sasa hivi Yanga haishindi mfululizo kama ilivyokuwa awali, na hata mechi inazoshinda ni tia maji tia maji kweli kweli, na karibu kila mechi hata ikishinda lazima ifungwe bao na hakuna dalili ya kubeba confederation cup kwani kuna kila dalili itatolewa na Azam kama itafanikiwa kupita kwa Lipuli. Ndiyo maujuzi ya Zahera yameishia hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom