Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Kuna Radio moja ya Arusha nimeisau jina , kwakweli yule jamaa anatangaza mpira hadi unadhani upo live uwanjani...tofauti kabisa na utangazaji wa Maulid ambapo yeye unaona mpita kwenye Tv lakini bado style ya Utangazaji inapoteza utamu wa mpira.
Ni mara kumi ya Emphraim Kibonde kuliko Maulid Kitenge. (Unajikaza sana Brother)
Ni mara kumi ya Emphraim Kibonde kuliko Maulid Kitenge. (Unajikaza sana Brother)