Maulid Kitenge hujui kutangaza mpira

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,053
Reaction score
3,259
Kuna Radio moja ya Arusha nimeisau jina , kwakweli yule jamaa anatangaza mpira hadi unadhani upo live uwanjani...tofauti kabisa na utangazaji wa Maulid ambapo yeye unaona mpita kwenye Tv lakini bado style ya Utangazaji inapoteza utamu wa mpira.
Ni mara kumi ya Emphraim Kibonde kuliko Maulid Kitenge. (Unajikaza sana Brother)
 
Anazidiwa na Bidada Mina Ali!
 
anatangaza kiumbea sana. siku akitangaza yeye naweka lugha ya kiingereza. kifupi anaboa sana
 
Namsikiliza hapa Dstv yeye pamoja na Oscar wote wazinguaji.

Huwa namkubali sana Ibrahim Masoud Maestro
 
Kibonde yuko poa sana, katika wale watangazaji wote wa kiswahili dstv, Kibonde yuko vizuri sana kwenye kutangaza. Hatumii nguvu na anajua anatangaza kitu ambacho watu wanaona pia. Kwenye usaidizi wa kutoa maelezo maestro anajitahidi nae.
 
Chuki binasfi hizo mkuu actually hazijengi! Unataka na sisi tukuunge mkono kwa kumchukia Kitenge?
 
Kibonde yuko poa sana, katika wale watangazaji wote wa kiswahili dstv, Kibonde yuko vizuri sana kwenye kutangaza. Hatumii nguvu na anajua anatangaza kitu ambacho watu wanaona pia. Kwenye usaidizi wa kutoa maelezo maestro anajitahidi nae.
upo sahihi kabisa
 

Huyo mwambie tu Kuoa kila Kukicha hapo mtaelewana na utampenda sana tu. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Ukitaka raha ya mpira sikiliza watangazaji wazungu...kwanza unapata historia ya timu mpaka wachezaji...Huku hakuna anaejua mpira...wababaishaji tu watangazaji pamoja na wachambuaji kina mwalimu kashasha
 
Acheni kumponda Maulid Kitenge..na yeye ni binadamu,, hakuna aliyekamilika kati yetu,, wako wazuri kwa sura lakini sio watangazaji wazuri..na wapo wabaya kama tako lakini mhhh...

Na kama kuna wenye nia mbaya ili afukuzwe...Mungu yuko nae atamlinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…