Maulid Kitenge: Kama tusipoushughulikia Uhuru wetu vizuri Wakoloni watarudi Kwa jina la Wawekezaji!

Maulid Kitenge: Kama tusipoushughulikia Uhuru wetu vizuri Wakoloni watarudi Kwa jina la Wawekezaji!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
KADA wa CCM na mwanahabari nguli Maulid Kitenge amewataka Viongozi wa Africa kufanya maamuzi Kwa umakini mkubwa Ili wasije kutuletea majuto huko mbele

" Tusipoushughulikia vizuri Uhuru wetu Wakoloni Watarudi Kwa jina la Wawekezaji" amesema KADA huyo wa CCM anayeaminiwa sana na Wawekezaji wa Bandarini Ukurasani kwake X

Screenshot 2025-01-31 152350.png
 
KADA wa CCM na mwanahabari nguli Maulid Kitenge amewataka Viongozi wa Africa kufanya maamuzi Kwa umakini mkubwa Ili wasije kutuletea majuto huko mbele

" Tusipoushughulikia vizuri Uhuru wetu Wakoloni Watarudi Kwa jina la Wawekezaji" amesema KADA huyo wa CCM anayeaminiwa sana na Wawekezaji wa Bandarini Ukurasani kwake X

Maoni ya influencers wanapokubalika zaidi kuliko maoni ya professionals, hili la kutawaliwa upya halikwepeki
 
Dunia ya sasa unakwepaje wawekezaji? Cha msingi unajipangaje kuishi nao?! Hapo kwenye kujipanga ndipo unaweza kupoteza uhuru wa kiuchumi au kubaki nao, uhuru wa bendera hawana shida nao.
 
New colonialism in the name of Investment ipo tu na haitafutika kamwe kwa sababu hiyo ndio demand kubwa ya "Capitalist Economy System". Kikubwa ni kuhakikisha kunakua na Win-Win Situation (in magufuli's voice😊)
 
KADA wa CCM na mwanahabari nguli Maulid Kitenge amewataka Viongozi wa Africa kufanya maamuzi Kwa umakini mkubwa Ili wasije kutuletea majuto huko mbele

" Tusipoushughulikia vizuri Uhuru wetu Wakoloni Watarudi Kwa jina la Wawekezaji" amesema KADA huyo wa CCM anayeaminiwa sana na Wawekezaji wa Bandarini Ukurasani kwake X
Ni muhimu kusema amekopi wapi hii quote....
All in all Kama anamaanisha afanye ya le ya Goodluck gozbert aichome ile V8 anayotembelea aliyopewa na hao watu...
 
KADA wa CCM na mwanahabari nguli Maulid Kitenge amewataka Viongozi wa Africa kufanya maamuzi Kwa umakini mkubwa Ili wasije kutuletea majuto huko mbele

" Tusipoushughulikia vizuri Uhuru wetu Wakoloni Watarudi Kwa jina la Wawekezaji" amesema KADA huyo wa CCM anayeaminiwa sana na Wawekezaji wa Bandarini Ukurasani kwake X
Si ni bora, kuliko kuwa na kikazi cha machawa
 
Kidoti atulie maana yeye kwenye kile chungu cha kuuza nchi alitumwa viungo vya pilau.
 
Kitenge ni mnafiki. Au amekosa teuzi? Alikuwa mstari wa mbele kwenye kuuza bandari zetu na kufukuza wamasai ngorongoro an
 
Yeye na genge lake walikaa kimya Samia alipojipitisha kugombea CCM. Ubabe anaoutumia ni zaidi ya wakoloni. Mbona anaogopa hata kusema kuhusu mkoloni aliyepo sasa.
 
Back
Top Bottom