johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
KADA wa CCM na mwanahabari nguli Maulid Kitenge amewataka Viongozi wa Africa kufanya maamuzi Kwa umakini mkubwa Ili wasije kutuletea majuto huko mbele
" Tusipoushughulikia vizuri Uhuru wetu Wakoloni Watarudi Kwa jina la Wawekezaji" amesema KADA huyo wa CCM anayeaminiwa sana na Wawekezaji wa Bandarini Ukurasani kwake X
Wawekezaji ndio Wakoloni?Maoni ya influencers wanapokubalika zaidi kuliko maoni ya professionals, hili la kutawaliwa upya halikwepeki
Hatari na nusuAiseee
Ni muhimu kusema amekopi wapi hii quote....KADA wa CCM na mwanahabari nguli Maulid Kitenge amewataka Viongozi wa Africa kufanya maamuzi Kwa umakini mkubwa Ili wasije kutuletea majuto huko mbele
" Tusipoushughulikia vizuri Uhuru wetu Wakoloni Watarudi Kwa jina la Wawekezaji" amesema KADA huyo wa CCM anayeaminiwa sana na Wawekezaji wa Bandarini Ukurasani kwake X
Si ni bora, kuliko kuwa na kikazi cha machawaKADA wa CCM na mwanahabari nguli Maulid Kitenge amewataka Viongozi wa Africa kufanya maamuzi Kwa umakini mkubwa Ili wasije kutuletea majuto huko mbele
" Tusipoushughulikia vizuri Uhuru wetu Wakoloni Watarudi Kwa jina la Wawekezaji" amesema KADA huyo wa CCM anayeaminiwa sana na Wawekezaji wa Bandarini Ukurasani kwake X
FafanuaIpi tofauti ya wakoloni na wawekezaji
Wote wananufaika waoFafanua
DP World Ni Wakoloni Toka UarabuniWawekezaji ndio Wakoloni?