Maulid Kitenge na EarPods ni ushamba au ujanja?

DALA

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2009
Posts
2,256
Reaction score
4,647
Huyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.

Na anahakikisha zinaonekana.

EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.

Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
 

Kila mtu anaishi vile anavyoweza.
Huwezi muita mtu mshamba aliyekuzidi karibu kila kitu.
Labda tuseme Una Dhana potofu
 
Anaoufanya Maulid si ushamba wala ujanja ni aina ya maisha yake kayachagua..
Ila wewe ndo unaleta ushamba ukijisi una ujanja kupata hasira na wivu kuwa anavaa earpods na kubeba simu yake yenye macho matatu..
Tafuta hela mzee makasiriko yakutoke ukija jukwaani unaleta mada nzito..
 
Labda anashida ya usikivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…