Maulid Kitenge na Ushamba wa Pods zake katika ibada ya Umra

Maulid Kitenge na Ushamba wa Pods zake katika ibada ya Umra

Ya wenye dini zao basi na waachieni,na wao ndio wenye kujua cha halali na haramu katika zao ibada.
 
Hapo ni alienda kuswali ama kupiga Picha?
 
Dini siyo ngumu kiasi hicho,mnacomplicate sana maisha wakati wenye Dini yao wenyewe wala hawana habari, ingekuwa hairuhusiwi huko aliko ndiyo original ya Dini asingeruhusiwa kuingia huko
 
hili si jambo jema sana, kumwona mwenzio mshamba ikiwa wewe ujajitasmini. life is just like the ocean waves
 
Back
Top Bottom