Kama una Hela ujinga sio kitu, uwe na akili halafu unajivunia bando utawafuatilia wanaume wenzako wanavaa Nini wako wapi,wanafanya Nini,uliza mtu yoyote mwenye Maisha maulidi Yuko wapi atakujibu none of my business.Pia unaweza kuwarithisha watoto wako ujinga wako na wa muneo
Nyie watu khaaaaahile picha ya kwanza lile pose ni ngumu kumuelezea mtu akaelewa. pose gani la namna ile?
Kushika ukuta [emoji849][emoji849]ile picha ya kwanza lile pose ni ngumu kumuelezea mtu akaelewa. pose gani la namna ile?
heeeeeh...... hatari sanaKushika ukuta [emoji849][emoji849]
Haki ya nani akili za kiafrika,........dah!!!!! Ngoja ninyamaze maana majibu anayo mwenyewe tu Muumba!!Kushika ukuta [emoji849][emoji849]
Tutafute pesa kuendelea kufuatilia maisha ya watu utakosa Cha kuwarithisha watoto ,nimesahau unaweza kuwarithisha ufupi au urefu.
Mkuu kushika ukuta ni kosa?Haki ya nani akili za kiafrika,........dah!!!!! Ngoja ninyamaze maana majibu anayo mwenyewe tu Muumba!!
Kuwa na heshima dogo.Una hoja usikilizwe bibie
Mbona wako uchi naombeni ufafanuzi.Ndugu zetu waislam, huyu jamaa sasa mshaurini akiwa katika ibada apunguze kukengeuka na ushamba wake usiomuisha. Kwenye inada ya Umra huko Mecca ameonekana akiwa airpods zake. Huu sasa ni ushamba mzee wetu Kitenge.View attachment 2553876View attachment 2553883
Kwa hii miguu hasingeweza kuajiriwa Jeshini!Ndugu zetu waislam, huyu jamaa sasa mshaurini akiwa katika ibada apunguze kukengeuka na ushamba wake usiomuisha. Kwenye inada ya Umra huko Mecca ameonekana akiwa airpods zake. Huu sasa ni ushamba mzee wetu Kitenge.View attachment 2553876View attachment 2553883
Hapo kama anasema kimoyo moyo asingeweka hivyo mngemtambuaje?