Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua

Tukubali kuchambua ukweli kabla ya kuunga mkono au kupinga hili suala la hifadhi ya ngorongoro kuishi na watu na mifugo je ni endelevu? Je hifadhi inaweza kubeba presha yote ya kuongezeka kwa idadi ya watu,mifugo,wanyama,nyumba za kisasa,umeme,magari,pikipiki,majengo ya shule, zahanati,viwanja vya michezo, masoko, vituo vya redio,nyumba za ghorofa, na kila aina ya maendeleo inayokuja duniani kwa mtazamo wangu ni busara kuamua kukubali moja ngorongoro ibaki kuwa hifadhi au ibaki kuwa makazi ya watu haiwezekani kuendelea yote mbili kuwepo.
 
Tukubali kuchambua ukweli kabla ya kuunga mkono au kupinga hili suala la hifadhi ya ngorongoro kuishi na watu na mifugo je ni endelevu? Je hifadhi inaweza kubeba presha yote ya kuongezeka kwa idadi ya watu,mifugo,wanyama,nyumba za kisasa,umeme,magari,pikipiki,majengo ya shule, zahanati,viwanja vya michezo, masoko, vituo vya redio,nyumba za ghorofa, na kila aina ya maendeleo inayokuja duniani kwa mtazamo wangu ni busara kuamua kukubali moja ngorongoro ibaki kuwa hifadhi au ibaki kuwa makazi ya watu haiwezekani kuendelea yote mbili kuwepo.
Shule INAPIGWA ...jamiiforums IBARIKIWE
 
Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua


Wamassai na Wamangati ni tatizo sana. Nendeni Monduli muone walivyobadilisha sehemu yote ile kuwa kame na jagwa
 
Kwa nini mnapenda kusema watu wanatumiwa? Hata mimi ninajua eco system yeyote inahitaji balance. Kuna kiwango cha activities za binadamu ambazo zinaweza kuvumiliwa, zaidi ya hapo tunaua hifadhi. Wamasai na mifugo yao wamezidi idadi inayo stahimilika. Inabidi tuchague moja, tukubali Ngorongoro iwe boma au iendelee kuwa hifadhi. Hatuwezi kuwa na vyote viwili.

Amandla...
Hamuwajui wamasai Ile creater wataifanya ziwa muda si mrefu mkose wote
 
Usiandike kishabiki hali ya Ngorongoro inasikitisha,inakatisha tamaa & ina huzunisha.
Ni kweli Waasai wapo ngorongoro miaka mingi wakishi na wanyama pori na mifugo yao.Wakati huo Mamlaka inaanzishwa idadi ya watu ilikuwa 8,271 na idadi ya mifugo ilikuwa 30,000.Nyumba za wamaasai zilikuwa aina ya combi

View attachment 2109828

Leo idadi ya Maasai ni 120,000 huku idadi ya mifugo yao ikifikia zaidi ya 1,000,000 na makaazi yao yakiondoka katika uasilia na kwenda kwenye usasa.Leo hii mabati msouth yamejaa Ngorongoro.Mmaasai anajenga nyumba za kisasa hadi maghorofa yamejengwa ndani ya hifadhi mgeni akitembelea Ngorongoro anakutana na Kondoo,Mbuzi na Ng'ombe kwa wingi kuliko Simba au Nyati.

Lazima Tanzania ichukue hatua kali na madhubuti kuokoa Ngorongoro.Kumezuka NGOs nyingi tena nyingine zikiasisiwa Kenya zipo pale kwaali ya kutetea ujinga na kuona Ngorongoro inakufa.Hii vita asili yake kubwa ni Kenya ambayo inaumizwa sana na uwepo wa Ngorongoro,Serengeti na Kilimanjaro.Kenya kupitia idara yake ya ujasusi inafahamu wazi ushindani wa utalii ni vivutio na wakiangalia hizo Mbuga tatu wanaona bora waiumize walau moja ambayo ni Ngorongoro.

Hizi NGOs nyingi zinawadanganya wamaasai Ngorongoro ni mali yao,serekali haina chao sasa huu ujinga ungemalizwa na vingozi wenye maamuzi mazito ikiwemo kuirejesha Ngorongoro TANAPA na kuifanya HIFADHI kama zilivyo Manyara,Serengeti,Kilimajaro au Mikumi.Wamaasai wahamishwe wote Tanzania bado ina mapori mengi.
Tatizo ni idadi ya watu, serikali iandae mpango kabambe wa uzazi wa mpango kuzuia watu kuongezeka zaidi.
 
Huyo ni mtoto aulize akina Stan Katabalo aliyekuwa mwandishi wa gazeti la mfanyakazi. Sasa hivi ni marehemu. Ukicheza na hizi hifadhi ni kama umecheza na wauza silaha ama unga au mafuta. Wale Waarabu waondoke mzee Mwinyi alifanya kitu cha hovyo sana.
 
Acha visingizio visivyo na tija, mabadiliko Tabia nchi duniani kote huiongelei unabebesha mizigo community yenye mchango hafifu katika hilo.?


Sent using Jamii Forums mobile app


Si kweli 😂 tatizo ni kulisha ng’ ombe bila utaratibu kwa utaratibu wa sasa hawa jamaa wakiachiwa sehemu itakuwa jagwa huo ndiyo ukweli. Mimi nimekulia Arusha na nilipita huko kote 2016 nikaona mifugo inavyobadilisha sehemu kuwa jangwa. Yaani wamassai na wamangati hawana utaratibu wowote wa kutengenza mabwawa, kupanda miti au kulisha kwa awamu ili kuruhusu majani kuota. Sasa tunaoambana nao huko Bagamoyo hawana maeneo ni uvamizi tu!
 
Huyo ni mtoto aulize akina Stan Katabalo aliyekuwa mwandishi wa gazeti la mfanyakazi. Sasa hivi ni marehemu. Ukicheza na hizi hifadhi ni kama umecheza na wauza silaha ama unga au mafuta. Wale Waarabu waondoke mzee Mwinyi alifanya kitu cha hovyo sana.
Ñoted Mkuu...
 
Eti wamasai wanahitaji Rami maji safi?sisi tusuokuwa wamasai tunakunywa maji ya visima na yanachumvi
 
Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Wewe umelipwa shilingi ngapi kutetea hifadhi kufa?.
 
Wamassai na Wamangati ni tatizo sana. Nendeni Monduli muone walivyobadilisha sehemu yote ile kuwa kame na jagwa
Halafu wakishavuruga ardhi mahali furani wanahamia eneo lingine.
Miaka michache ijayo nchi nzima itakuwa Jangwa.
Tusicheke na hawa watu.
 
Si kweli [emoji23] tatizo ni kulisha ng’ ombe bila utaratibu kwa utaratibu wa sasa hawa jamaa wakiachiwa sehemu itakuwa jagwa huo ndiyo ukweli. Mimi nimekulia Arusha na nilipita huko kote 2016 nikaona mifugo inavyobadilisha sehemu kuwa jangwa. Yaani wamassai na wamangati hawana utaratibu wowote wa kutengenza mabwawa, kupanda miti au kulisha kwa awamu ili kuruhusu majani kuota. Sasa tunaoambana nao huko Bagamoyo hawana maeneo ni uvamizi tu!
Tatizo kubwa zaidi ni ongezeko la idadi ya watu huku eneo la hifadhi likibaki na ukubwa ule ule.
 
Back
Top Bottom