Maulid Kitenge punguza dharau Brother

Maulid Kitenge punguza dharau Brother

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Si mara moja wala mara 2 unapokuwa ukiripoti matukio mbalimbali umekuwa ukitumia lugha za kejeli especially kwa watu wenye mawazo tofauti na yako.

Hata kama unatekeleza kazi maalumu hupaswi kudharau watu.

Haya, Endelea na lile jukumu letu.

FB_IMG_1695620415073.jpg
 
Sijui kwanini Bongo watu wajinga wajinga ndio wanatrend tu wee fatilia hili wapo wengi dizain ya Maulid kwa akili hizi kuendelea Tz labda ashuke Mungu mwenyewe kwa maana wajinga wajinga ni wengi na ndio kama wana nguvu nchini nahisi ujinga wao ni mtaji kwa serikali
 
N
Sijui kwanini Bongo watu wajinga wajinga ndio wanatrend tu wee fatilia hili wapo wengi dizain ya Maulid kwa akili hizi kuendelea Tz labda ashuke Mungu mwenyewe kwa maana wajinga wajinga ni wengi na ndio kama wana nguvu nchini nahisi ujinga wao ni mtaji kwa serikali
Nadhani ndio maana hospitali ya mirembe kubadili jina kuitwa afya ya akili kupunguza makali!!!
 
Sijui kwanini Bongo watu wajinga wajinga ndio wanatrend tu wee fatilia hili wapo wengi dizain ya Maulid kwa akili hizi kuendelea Tz labda ashuke Mungu mwenyewe kwa maana wajinga wajinga ni wengi na ndio kama wana nguvu nchini nahisi ujinga wao ni mtaji kwa serikali


Chochote kinacho ‘trend’ maana yake kina nguvu kubwa ya wafuasi nyuma yake na ndio huko kinapata nguvu ya ku’trend’.

Maulid ni sehemu ya jamii ya watanzania. Tabia zake na za jamii yake hazina tofauti kubwa sana kwa maana mazingira na jamii huchangia katika kumtengeneza mtu.

Maulid ni zao halali kabisa la watanzania wa Tanganyika.

Maulid anawakilisha uhalisia wa Mtanzania yule pyuwa!



Ukimuelewa Maulid, utamuelewa mtanzania rangi yake halisi.


Tanzania ina watanzania halisi aina ya Maulid kwa asilimia zaidi ya nusu ya mia.


Tuendelee kuijenga nchi yetu Tanzania.
 
Back
Top Bottom