Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upumbavu,Nyie ndiyo mmepaisha
Kwa kumfatilia
Ova
Ndio na huo ndio uhalisiaTittle: ALIYEKATAA UTUMWA ARUDI KUFANYA KAZI AIPENDAYO.
Sema Kitenge naye bomu kabisa.
Naam mnakula chaki wakati yeye akila maisha.Hatuwezi wote kuwa na kazi moja wala hatuwezi kukashifu uandishi wa habar maana wapo wazur,kam mwalimu nimeumia kwa hiyo sisi tunakula chaki ahaa[emoji848]sawa.illa ndio tumekufikisha hapo
Nakumbuka hata Prince Makonda alijisahau sana bado huyu.
Yeye akiambiwa ni mtaalamu wa kucheza na kulamba mike atakasirika na kuomba likizo.Si mara moja wala mara 2 unapokuwa ukiripoti matukio mbalimbali umekuwa ukitumia lugha za kejeli especially kwa watu wenye mawazo tofauti na yako.
Hata kama unatekeleza kazi maalumu hupaswi kudharau watu.
Haya, Endelea na lile jukumu letu.
View attachment 2761433
Upumbav ni upiAcha upumbavu,
BhahahahahaaaYeye akiambiwa ni mtaalamu wa kucheza na kulamba mike atakasirika na kuomba likizo.