Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Ndo baadhi ya binadamu walivyo!Jamaa anajionaga machinoo sana!
kumbe ni mpumbavu mmoja tu
EUnategemea mario anayependa kuoa wake wengi ili wamlee awe imprtial?
Nadhani ndio maana hospitali ya mirembe kubadili jina kuitwa afya ya akili kupunguza makali!!!Sijui kwanini Bongo watu wajinga wajinga ndio wanatrend tu wee fatilia hili wapo wengi dizain ya Maulid kwa akili hizi kuendelea Tz labda ashuke Mungu mwenyewe kwa maana wajinga wajinga ni wengi na ndio kama wana nguvu nchini nahisi ujinga wao ni mtaji kwa serikali
Maokoto ya dpw ndio yanampa jeuriJamaa anajionaga machinoo sana!
kumbe ni mpumbavu mmoja tu
Naam, kijana wetu hajui kuwa ndani ya saa 24 historia ya mwanadamu inaweza kubadilika kabisa.
Yule mpe gazeti la kingereza akusomee hata Aya mojaJamaa anajionaga machinoo sana!
kumbe ni mpumbavu mmoja tu
Duniani watu ndivyo walivyo...Jamaa anajionaga machinoo sana!
kumbe ni mpumbavu mmoja tu
Akiendelea hivi ntamwondoa kwenye payroll
Lakini,mbona tulikuona ukimpokea pale Dubai?😁Si mara moja wala mara 2 unapokuwa ukiripoti matukio mbalimbali umekuwa ukitumia lugha za kejeli especially kwa watu wenye mawazo tofauti na yako.
Hata kama unatekeleza kazi maalumu hupaswi kudharau watu.
Haya, Endelea na lile jukumu letu.
View attachment 2761433
Sijui kwanini Bongo watu wajinga wajinga ndio wanatrend tu wee fatilia hili wapo wengi dizain ya Maulid kwa akili hizi kuendelea Tz labda ashuke Mungu mwenyewe kwa maana wajinga wajinga ni wengi na ndio kama wana nguvu nchini nahisi ujinga wao ni mtaji kwa serikali