Maulid Kitenge punguza dharau Brother

Tittle: ALIYEKATAA UTUMWA ARUDI KUFANYA KAZI AIPENDAYO.

Sema Kitenge naye bomu kabisa.
 
Hatuwezi wote kuwa na kazi moja wala hatuwezi kukashifu uandishi wa habar maana wapo wazur,kam mwalimu nimeumia kwa hiyo sisi tunakula chaki ahaa[emoji848]sawa.illa ndio tumekufikisha hapo
 
Hatuwezi wote kuwa na kazi moja wala hatuwezi kukashifu uandishi wa habar maana wapo wazur,kam mwalimu nimeumia kwa hiyo sisi tunakula chaki ahaa[emoji848]sawa.illa ndio tumekufikisha hapo
Naam mnakula chaki wakati yeye akila maisha.
 
Ukweli mchungu, Ila huyu mwalimu angejua hasingekataaga, angekuwa anaendeshwa Sasa hivi.
 
Yeye akiambiwa ni mtaalamu wa kucheza na kulamba mike atakasirika na kuomba likizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…