Anatufokea
Makonda bwana. Ameiuwa Clouds ili amchukue kusaga wafanye media mpya.....Kitenge na wenzake waliotimkia pale wasafi muda si mrefu wataanza kukimbizana pale , Mishahara yao ikilipwa kwa fedha za dhuluma za Makonda sasa kavuliwa u Rc sijiui atakwenda kumtishia nani..Kwa wasiojua 68% ya umiliki wa WASAFI ni ya Makonda
Sikufokei!!!..... Deo kisandu mkubwa wewe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usinifokee
Dalili za awali za ujauzito. Ukijifungua utakuwa poa na utampenda tenaMichezo ndo Hadi nataka kutapika akitangaza.
Yahitaji above average IQ kuwaelewa Kitenge na Zembwela.
Zamani alikuwa Maulidi kitenge, siku hizi Maulidi khanga.[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Ananikera saana hata Mimi huyu maulidi amejaa sifa za kipumbavu, anapayuka hovyo hovyo tu Kama mhuni. Anakera saana. Siku hizi hata sisikilizi magazeti yake. Michezo ndo Hadi nataka kutapika akitangaza.
Zamani alikuwa Maulidi kitenge, siku hizi Maulidi khanga.
They read the headlines accompanied by a brief sarcastic discussion. Something many fail to note the message being sent.Do I need to deploy all my IQ listening to news' paper headlines???
halaf uskute we ni jamaa flan wa mtaani tu unashinda maskan kubishana kati ya Mesi na Ronaldo nani analipwa hela ndefu😁Ananikera saana hata Mimi huyu maulidi amejaa sifa za kipumbavu, anapayuka hovyo hovyo tu Kama mhuni. Anakera saana. Siku hizi hata sisikilizi magazeti yake. Michezo ndo Hadi nataka kutapika akitangaza.
Zamani alikuwa Maulidi kitenge, siku hizi Maulidi khanga.
They read the headlines accompanied by a brief sarcastic discussion. Something many fail to note the message being sent.
yaani hiki kipindi cha magazeti asipokuwepo Kitenge huwa sisikilizi kabisa naona hakina ladha,pia kipindi chao cha michezo asubuhi huwa nasikiliza kuanzia habari za kitaifa kama anatangaza Maulidi Kitenge asipokuwepo basi nasubiri kuanzia saa nne asubuhi kusikiliza michezo kimataifa.
Hivi kumbe bado wapo?Ukiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.
Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi. Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.
Juzi nimekutana nae pale bank ya NBC ubungo anatembea kavuta mgongo hadi kaoshaota kibiongoAnanikera saana hata Mimi huyu maulidi amejaa sifa za kipumbavu, anapayuka hovyo hovyo tu Kama mhuni. Anakera saana. Siku hizi hata sisikilizi magazeti yake. Michezo ndo Hadi nataka kutapika akitangaza.
Zamani alikuwa Maulidi kitenge, siku hizi Maulidi khanga.
Wanashindana fulani sema zembwela bora angebaki tuu east africa pale aendelee kujenga jina huko aliko nyota ndio inazidi kuyoyoma kama kicheko alivyotoka e fm akaenda cloud kujifia hukoHicho kipindi kimekuwa Cha hovyo huyo kitenge na zembwela wanapenda sifa balaa
Yani hicho kipindi watangazaji wote utafikiri ni matahira ya mirembe, huyo zembwela East African ndo kulimprndeza kuliko huko aliko Sasa, kitenge naye alipotoka radio one ndo akaharibikiwa huko wasafi ndio kachizika kabisa too much mbwembweWanashindana fulani sema zembwela bora angebaki tuu east africa pale aendelee kujenga jina huko aliko nyota ndio inazidi kuyoyoma kama kicheko alivyotoka e fm akaenda cloud kujifia huko