talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,104
- 2,073
Lakini kila ifikapo asububi unakaa kumsikiliza na usomaji wake wa magazeti.😀Simpendi yule baba na staili yake ya kusoma magazeti kama anatufokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kila ifikapo asububi unakaa kumsikiliza na usomaji wake wa magazeti.😀Simpendi yule baba na staili yake ya kusoma magazeti kama anatufokea
Acha kufokaUkiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.
Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi. Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.
Sijawahi kumsikiliza huwa naona clip zake huko instaLakini kila ifikapo asububi unakaa kumsikiliza na usomaji wake wa magazeti.[emoji3]
Punguza wivu MkuuUkiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.
Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi. Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.
Ahaa, kumbe tofuati ni kwamba sie wengine tunamsikiliza redioni wewe unamsikiliziaga insta...maana siamini kama ukiona clip zake uko insta huwa unamskip bali unamsikiliza mpaka mwisho kuonesha kuwa somehow anakufurahishaga.Sijawahi kumsikiliza huwa naona clip zake huko insta
We vipi mbona unanisemea? Yaani nikuambie simpendi bado nisikilize clip mpaka mwisho? EbooAhaa, kumbe tofuati ni kwamba sie wengine tunamsikiliza redioni wewe unamsikiliziaga insta...maana siamini kama ukiona clip zake uko insta huwa unamskip bali unamsikiliza mpaka mwisho kuonesha kuwa somehow anakufurahishaga.
Kitenge na wenzake waliotimkia pale wasafi muda si mrefu wataanza kukimbizana pale , Mishahara yao ikilipwa kwa fedha za dhuluma za Makonda sasa kavuliwa u Rc sijiui atakwenda kumtishia nani..Kwa wasiojua 68% ya umiliki wa WASAFI ni ya Makonda
Unajuaje na mimi kama nna uzoefu tokea East Africa radio au na mimi nitaje jina langu ushangae ni mpendwa mtangazaji![emoji41]
Kalagabaho wewe unaona ile kumwita Mlezi wa wasafi kumekuja bure..ushahidi tunao
Simpendi yule baba na staili yake ya kusoma magazeti kama anatufokea
Hapo RFA mlisha lipwa malimbikizo ya mishahara yenu?
Kama unakereka si ufungue channel zingineAnanikera saana hata Mimi huyu maulidi amejaa sifa za kipumbavu, anapayuka hovyo hovyo tu Kama mhuni. Anakera saana. Siku hizi hata sisikilizi magazeti yake. Michezo ndo Hadi nataka kutapika akitangaza.
Zamani alikuwa Maulidi kitenge, siku hizi Maulidi khanga.
Binafsi namuona kama ana stress nshaacha kumsikiliza
Redio imekataa kubadilisha stesheni, sasa afanyeje?Hua anasoma kichwa cha habari halafu anakitungia nyimbo. Kama hupendi si ufungue channel nyengine
Azime redio akakojoe alaleRedio imekataa kubadilisha stesheni, sasa afanyeje?
😂😂😂mbona tunafokeana sasa..!We vipi mbona unanisemea? Yaani nikuambie simpendi bado nisikilize clip mpaka mwisho? Eboo
Nimegundua naongea na taahira[emoji23][emoji23][emoji23]mbona tunafokeana sasa..!