Maulid Kitenge unaboa na vituko vyako

Maulid Kitenge unaboa na vituko vyako

Ukiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.

Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi. Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.
Acha kufoka
 
Ukiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.

Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi. Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.
Punguza wivu Mkuu
 
Sijawahi kumsikiliza huwa naona clip zake huko insta
Ahaa, kumbe tofuati ni kwamba sie wengine tunamsikiliza redioni wewe unamsikiliziaga insta...maana siamini kama ukiona clip zake uko insta huwa unamskip bali unamsikiliza mpaka mwisho kuonesha kuwa somehow anakufurahishaga.
 
Ahaa, kumbe tofuati ni kwamba sie wengine tunamsikiliza redioni wewe unamsikiliziaga insta...maana siamini kama ukiona clip zake uko insta huwa unamskip bali unamsikiliza mpaka mwisho kuonesha kuwa somehow anakufurahishaga.
We vipi mbona unanisemea? Yaani nikuambie simpendi bado nisikilize clip mpaka mwisho? Eboo
 
Kitenge na wenzake waliotimkia pale wasafi muda si mrefu wataanza kukimbizana pale , Mishahara yao ikilipwa kwa fedha za dhuluma za Makonda sasa kavuliwa u Rc sijiui atakwenda kumtishia nani..Kwa wasiojua 68% ya umiliki wa WASAFI ni ya Makonda

Umejifunza wapi 'Uwongo' au nani 'amekudanganya' hivi nawe Kumuamini? Chukua hii 75% ni Media ya Kusaga na 25% za Mkewe na Diamond tu.
 
Unajuaje na mimi kama nna uzoefu tokea East Africa radio au na mimi nitaje jina langu ushangae ni mpendwa mtangazaji![emoji41]

Hebu tuondoleeni hapa huu 'Upuuzi' wenu wa 'Kujisifia / Kujimwambafai' hapa. Kama mngekuwa wazuri hivyo leo si mngekuwa CCN? Mnatuboa!!!

Cc: LaRosa
 
Kalagabaho wewe unaona ile kumwita Mlezi wa wasafi kumekuja bure..ushahidi tunao

Acha 'Uwongo' Mkuu huna 'Ushahidi' wowote juu ya hilo la Wasafi FM na nakushauri tu ni vyema ukanyamaza kuliko kuendelea 'Kujichoresha' hapa.
 
Simpendi yule baba na staili yake ya kusoma magazeti kama anatufokea

Na kwa jinsi ambavyo huwa anatumia Nguvu nyingi vile katika Kuzungumza kuna uwezekano baada ya Kipindi akijikagua anakuwa amejinyea mno.
 
Ananikera saana hata Mimi huyu maulidi amejaa sifa za kipumbavu, anapayuka hovyo hovyo tu Kama mhuni. Anakera saana. Siku hizi hata sisikilizi magazeti yake. Michezo ndo Hadi nataka kutapika akitangaza.

Zamani alikuwa Maulidi kitenge, siku hizi Maulidi khanga.
Kama unakereka si ufungue channel zingine
 
Hua anasoma kichwa cha habari halafu anakitungia nyimbo. Kama hupendi si ufungue channel nyengine
 
Binafsi namuona kama ana stress nshaacha kumsikiliza

Kinachomgharimu Kikubwa ni tabia yake ya Kupenda sana 'Kulelewa' na 'Mijimama' ya huko Marekani au Uarabuni ambako mara kwa mara amekuwa akienda. Hivi sasa Mkewe ( Mama yake Bintiye Shadia ) ameshaacha nae rasmi na sasa huyu Mtangazaji anaishi peke yake, Msichana wake wa Kazi na huyo Bintiye Kipenzi huko Kwake Masaki. Kijiwe chake Kikuu ni Kona ya 'Slipway' mkabala na Duka la Bakhressa.

Alipata bahati sana ya kuwa na Wanawake ( Wake ) ambao walikuwa si haba 'Kiuchumi' Mmoja akiwa anafanya UN huko 'Mamtoni' na mwingine ndiyo huyo aliyeko hapa Tanzania na ambaye alishakuwa ni Mbunge wa Kuteuliwa. Tatizo Kubwa la huyu Mtangazaji ni kupenda mno 'Kitonga / Mteremko' ambapo anapenda sana 'Kutiana' na Wanawake 'Matajiri' na hasa wale Wazee Wazee ili awe anajipatia Fedha.

Kama tukitafuta Watanzania ambao ndiyo Wateja wakubwa wa zile Dawa za Nguvu za Kiume kutoka kwa Marafiki zangu Wakongo ( Wazaire ) basi ni huyu Mtangazaji na ili uamini kuwa huwa hatanii hata ukibahatika kuingia katika Gari lako ukilikagua 'Kiumakini' utazikuta ameziweka na Mwenyewe huwa anasema anazitumia mno ili 'awapagawishe' Wanawake wenye Hela ( Mtonyo ) ili awe 'anawachuna' na Maisha yake yaende.

Ukisikia anaenda Marekani au UAE ( ukiachia Afrika Kusini ambako pia ana Mkataba na Dstv ) jua anaenda 'Kulala' na 'Mijimama' ili alipwe Mifedha.
 
You can not give what you do not have! Kichwani kama ni pumba utatoa pumba.Sasa watangazaji wa kuwaokota kwenye makundi ya mitaani ya vichekesho ulitegemea nini.
 
Back
Top Bottom