Maulid Kitenge unapotumika sana mwishowe unadharaulika

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hata wanaokutumia wanakudharau. Angalia tu Toilet Paper. Ikishatumika nani anaiweka mfukoni? Hamna.

GSM wanakupatia pesa nzuri ili utumike kupambana na Mo Dewj na Simba katika Media. Unapoongea suala la Simba unaongelea kishabiki, kimipasho kama mwanamke wa uswahilini. Si kiweledi kabisa.

Hebu jaribu kuchambua kisomi kiweledi siyo kwa hisia na chuki.tunajua kuwa uligombana na Haji Manara na pia ulikuwa unataka Manara apigwe chini wewe Uwe Msemaj ukidai wewe unasikilizwa na watu wengi. Ulipokataliwa ukajenga chuki kubwa.

Mbona wenzio ulioomba nao hawajawa na chuki kwa Simba?fanya kazi kwa weledi.
 
Maulid likiwepo swala la yanga michezo hata haonekan pale wasaf fm ...nilimsubiria kumsikia juu ya makamu aliyestopishwa sikumskiaa kesho yake likaibuka la simba na kuhusu mchakato kipindi kizima kikaishia hapo
 
ngoja aje hatuwezi kusikiliza malalamiko ya upande mmoja
 
Ungetuwekea picha mkubwa wengine tunamsikiaga tuu hatumjui
 
Mashabiki wa Simba hovyo sana!!

Of course, kwa asiyemfuatilia Kitenge na akaongeza na chuki zake binafsi lazima aone Kitenge anaongea kishabiki sana dhidi ya Simba lakini kwa anayemfuatilia huku akiwa positive atafahamu kwamba jinsi Kitenge anavyoongea dhidi ya Simba ndivyo hivyo hivyo anavyoongea dhidi ya jambo lolote lile!!!

Anavyoongea dhidi ya Simba dhidi ya Simba ndivyo hivyo hivyo anavyoongea kwenye kipindi cha magazeti!

Wale old timers wenzangu wanakumbuka Sakata la Kitenge na Muhidin Ndolanga, hadi Ndolanga alifikia kuongea lugha chafu dhidi ya Kitenge wakiwa hewani!!!

Ndolanga wakati ule hakuwa kiongozi wa Simba bali alikuwa kiongozi wa FAT (TFF kwa sasa)!!

Kwahiyo ni kiroja kudai eti Kitenge ana chuki na Simba huku mkiwa mnaongea hayo kwa kutumia kigezo cha uwasilishaji wake wa mada!! Anyway, hakuna cha kuchangasha haat hivyo manake hata Mwana-Simba mwenzenu Kigwangala mlimwambia hivyo hivyo kwa sababu tu alijaribu kuhoji janja janja ya Mo-Dewji!
 
Daaah...inasikitisha sana kama hii ndo hoja unayotoa mtoto wa kiume? Luc Eymael alikuwa sahihi kusema wanayanga wanapiga kelele kama nyani na kubweka kama mbwa. Huwa hawana hoja. Vipi majibu ya Morrison hayajarudi bado? 😁

Manguruwe yamemshupalia Kitenge. Malizaneni na Mo wenu ili Kitenge na wengine wakose hoja.
 
Kinachonishangaza wanaotaka BIL 20 sana na kupiga kelele kwenye Mitandao Ni Yanga. Simba kwa asilimia 90 hatuna tatizo mi nashauri hata asizitoe... Abaki nazo kwani shida ipo wapi? Wachezaji wanalipwa kwa wakati, team imetulia haina shida. Hivi sasa on the way to nigeria. Yanga mbona mnateseka 😁😁😁😁😁



 
Daaah...inasikitisha sana kama hii ndo hoja unayotoa mtoto wa kiume? Luc Eymael alikuwa sahihi kusema wanayanga wanapiga kelele kama nyani na kubweka kama mbwa. Huwa hawana hoja. Vipi majibu ya Morrison hayajarudi bado? 😁
Ndo hoja? Unambania nani pua? Wengine hatutumii vitu hivyo. Ndemeti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…