Kitenge huwa kabla hajaenda marekani huwa anaptia Congo anachukua vitenge kw wingi na doti chache za kanga ni biashara yake kubwa huko marekani na inamlipa kw kweli ndio Mana Mara kwa Mara anaptikana huko
Nina hoja mbili kuhusu huyu legend kwenye utangazaji hapa nchini...
Zinazonipa maswali mengi
1.kwanini ni rahisi Kwa huyu jamaa kuama redio moja kwenda nyingine chapu chapu Bila kuangalia brand yake heshima yake yani yeye ni chapu chapu kisa kawekewa pesa nyingi
2.kingine huyu jamaaa ana mishe gani marekani? Nahisi kila baada ya mwezi ana safiri kwenda nje
Msaada kwwnye tuta
There are 3 geders🤣🤣 in America according to Dr. MwakyembeMarekani ndiko Sheria inaruhusu ndoa husika
Tulioupata orientation kidogo Cuba tumekuelewaKitenge huwa kabla hajaenda marekani huwa anaptia Congo anachukua vitenge kw wingi na doti chache za kanga ni biashara yake kubwa huko marekani na inamlipa kw kweli ndio Mana Mara kwa Mara anaptikana huko
DuuuuhKitenge Ni kitenge tu hatuwezi kujuwa nyuma ya pasia kumbe jamaa upinde [emoji2380] hatuwezi juwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]There are 3 geders[emoji1787][emoji1787] in America according to Dr. Mwakyembe
Acheni ujinga fanyeni kazi, mtu akitoboa tu mna anza kuzushaKitenge Ni kitenge tu hatuwezi kujuwa nyuma ya pasia kumbe jamaa upinde [emoji2380] hatuwezi juwa