Broadcast
Member
- Jun 19, 2022
- 76
- 285
Nina hoja mbili kuhusu huyu legend kwenye utangazaji hapa nchini...
Zinazonipa maswali mengi
1.kwanini ni rahisi Kwa huyu jamaa kuama redio moja kwenda nyingine chapu chapu Bila kuangalia brand yake heshima yake yani yeye ni chapu chapu kisa kawekewa pesa nyingi
2.kingine huyu jamaaa ana mishe gani marekani? Nahisi kila baada ya mwezi ana safiri kwenda nje
Msaada kwwnye tuta
Zinazonipa maswali mengi
1.kwanini ni rahisi Kwa huyu jamaa kuama redio moja kwenda nyingine chapu chapu Bila kuangalia brand yake heshima yake yani yeye ni chapu chapu kisa kawekewa pesa nyingi
2.kingine huyu jamaaa ana mishe gani marekani? Nahisi kila baada ya mwezi ana safiri kwenda nje
Msaada kwwnye tuta