Sasa huyu iddi azani si ameshakuwa mbunge kwanini asiwaachie wenzie yeee si ameshakaa miaka kumi tiyaliiiiPasipo na Shaka Idd Azan anarudi jimboni. Amejiandaa vya kutosha na fedha anayo na anakubalika miongoni mwa wajumbe wa CCM jimboni.
Mtulia msomi lakini Hana mipango, vision na ameshindwa kuwavuta wajumbe wadogowadogo jimboni
Mkuu, ghafla unamshangilia azan? DahView attachment 1499230
Hii ndio habari mpya inayozunguka mitaa ya kwa Manyanya , kwamba mbunge wa zamani wa kinondoni Idd Azan anataka tena tiketi ya kugombea ubunge kupitia ccm , Jambo linaloleta mashaka kwa mamluki Maulid Mtulia
Raha ya mahaba, ukipenda chongo utaona ni kengeza tu.Hebu jiulize Nyalandu alihamaje ccm , sikiliza speech yake siku anahama , usimfananishe na hao waliojiuza
Huyu muuza unga,asahau. Akatubu kwanza kwa kumaliza nguvu kazi ya taifa.View attachment 1499230
Hii ndio habari mpya inayozunguka mitaa ya kwa Manyanya , kwamba mbunge wa zamani wa kinondoni Idd Azan anataka tena tiketi ya kugombea ubunge kupitia ccm , Jambo linaloleta mashaka kwa mamluki Maulid Mtulia
Kwanini asipelekwe mahakamani ?Idd Azan alibebwa Sana na Yusuf Makamba,katibu mkuu wa CCM zamani kwa kuwa wote walitoka mkoa wa Tanga. Sasa hivi Hana mbeleko na baya zaidi ni mtuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya.
bila akili kubwa huwezi kunielewaMkuu, ghafla unamshangilia azan? Dah
Alimsukumia mama yakoHiyo mihadarati alikusukumia katika njia yako ya makalio. Muda mwingine tafakari kabla ya kuandika upuuzi wako hapa.
Mkuu unaweza kwenda kutoa ushahidiIddy Azan ni muuza ngada kinondoni yote anafahamika.arudi kwenye soka akagange njaa.
Duh,kitambo huyu sijamsikiaHivi Dada Shy Rose Bhanji yuko wapi siku hizi?
Bingwa wa ngada huyu.kino,m.nyamala,ilala kote huko ana suply mzigo.Mkuu unaweza kwenda kutoa ushahidi
Hebu Tufanyie hivyo
Ova
Halafu anafanya hayo yote na vyombo vya ulinzi na usalama vipo vinajua na vinamuacha tuu!!??Bingwa wa ngada huyu.kino,m.nyamala,ilala kote huko ana suply mzigo.
Una ushahidi chiefBingwa wa ngada huyu.kino,m.nyamala,ilala kote huko ana suply mzigo.
Naenda ostabay sasa hivi kupeleka ushahidi.Una ushahidi chief
Hebu rahisisha mambo
Ova
Asipoteze muda wake atakwata kwenye kamati ya CCM. Sababu anazijua. Bunge lijalo litakuwa na sura mpya nyingi.View attachment 1499230
Hii ndio habari mpya inayozunguka mitaa ya kwa Manyanya , kwamba mbunge wa zamani wa kinondoni Idd Azan anataka tena tiketi ya kugombea ubunge kupitia ccm , Jambo linaloleta mashaka kwa mamluki Maulid Mtulia
Azan ana pesa chafu kaka!!Iddy Azan ni muuza ngada kinondoni yote anafahamika.arudi kwenye soka akagange njaa.