Uchaguzi 2020 Maulid Mtulia akalia kuti kavu , Idd Azan arejea tena ulingoni

Uchaguzi 2020 Maulid Mtulia akalia kuti kavu , Idd Azan arejea tena ulingoni

Pasipo na Shaka Idd Azan anarudi jimboni. Amejiandaa vya kutosha na fedha anayo na anakubalika miongoni mwa wajumbe wa CCM jimboni.

Mtulia msomi lakini Hana mipango, vision na ameshindwa kuwavuta wajumbe wadogowadogo jimboni
Sasa huyu iddi azani si ameshakuwa mbunge kwanini asiwaachie wenzie yeee si ameshakaa miaka kumi tiyaliiii
 
View attachment 1499230

Hii ndio habari mpya inayozunguka mitaa ya kwa Manyanya , kwamba mbunge wa zamani wa kinondoni Idd Azan anataka tena tiketi ya kugombea ubunge kupitia ccm , Jambo linaloleta mashaka kwa mamluki Maulid Mtulia
Huyu muuza unga,asahau. Akatubu kwanza kwa kumaliza nguvu kazi ya taifa.
 
Idd Azan alibebwa Sana na Yusuf Makamba,katibu mkuu wa CCM zamani kwa kuwa wote walitoka mkoa wa Tanga. Sasa hivi Hana mbeleko na baya zaidi ni mtuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya.
 
Idd Azan alibebwa Sana na Yusuf Makamba,katibu mkuu wa CCM zamani kwa kuwa wote walitoka mkoa wa Tanga. Sasa hivi Hana mbeleko na baya zaidi ni mtuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya.
Kwanini asipelekwe mahakamani ?
 
Idd Azan kwa sifa zake chafu hawezi chaguliwa labda sio CCM ya awamu ya tano. Yeye atulie tu, his time was over.
 
View attachment 1499230

Hii ndio habari mpya inayozunguka mitaa ya kwa Manyanya , kwamba mbunge wa zamani wa kinondoni Idd Azan anataka tena tiketi ya kugombea ubunge kupitia ccm , Jambo linaloleta mashaka kwa mamluki Maulid Mtulia
Asipoteze muda wake atakwata kwenye kamati ya CCM. Sababu anazijua. Bunge lijalo litakuwa na sura mpya nyingi.
 
Iddy Azan ni muuza ngada kinondoni yote anafahamika.arudi kwenye soka akagange njaa.
Azan ana pesa chafu kaka!!
Nasikia ana maroli ya kumwaga plua Bus alizokodisha TCC na Makampuni mengine.
Kifupi anakula shavu dodo sema bungeni wanakimbiliaga kupata kivuli.
 
Back
Top Bottom