Wala sio kupopoaKwahiyo itakuwa alipewa huduma first class akapagawa π
Ila unawapopoa mawe vijana wenzako, watakuazimia kwenye vikao vyao π
Poleni, kwa maisha ya Sasa ukiwa na uwezo wa kuwa na Wanawake 2 tu lazima Uchumi Uyumbe sasa ndiyo uwe nao 10 si utafirisika kabisa.Wala sio kupopoa
Tatizo hawjatulia kabisaa wanawapanga hata 10 na hamjuani.
Sa maisha haya ukapangwe inahusu
Mwisho kufa na ukimwi bure
Nilidhani huwezi hesabu za Magazijuto, tafadhali usiseme kwa mwingine nitakununulia Chocolate π€πππNimesoma cuba ujue nakuelewa ππ
Absolutely ingawa miaka yetu hakukuwa sana na matumizi ya hela kwenye mahusiano tofauti na sasa as kila kitu kilikuwa real.Kama we hukuweza basi wenzio wanaweza
Hata sasa unadhan ni wanaume wote wanaotumia hela?Absolutely ingawa miaka yetu hakukuwa sana na matumizi ya hela kwenye mahusiano tofauti na sasa as kila kitu kilikuwa real.
Hahaha.............wakija kushtuka inakuwa too late ππππHata sasa unadhan ni wanaume wote wanaotumia hela?
Anawapanga wanawake na wote anaigiza kwamba anawaoa so anamega tu bila wasi wasi
Ugolo unachuja utamu wote, alafu inabaki sega tuhh.Kwelii
Hadi wanakojoa eeh??
Watatumaliza Hawa viumbe[emoji26]Inatisha sana
Shindwa na ulegee.Na nyuma inafaa kuweka?
Nauliza tyuuh.
Hivi hata unajua anachoweka chini majay?Watatumaliza Hawa viumbe[emoji26]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shindwa na ulegee.
Usiniulize ushetwani wako.
Hii chocolate leo au?kesho tunafunga sisi ππNilidhani huwezi hesabu za Magazijuto, tafadhali usiseme kwa mwingine nitakununulia Chocolate π€πππ
Asante. Huwa nikiona mambo ya takwimu nayachukulia seriously kama yalivyomaanishwa. Kwa shauku tu, jee wewe binafsi uliwahi kujaribu? Vipi matokeo yake?Don't be that serious mkuu
Kwanza hiyo kauli sio yangu ndo maana nimeweka na mtoa kauli
Pili wanawake wanaweka hadi chumvi za mawe na madawa kibao ya kichina kunako. Me nawaona sana na ndo maana siku hizi madimbwi mengi.
Yani wakisikia tu atakuwa mnato haooo wanaenda kichwa kichwa kuweka. Wasijue kwamba mnato ni asili ya mtu.