Maulidi kitenge: Wanawake wajipaka tumbaku sehemu za siri kupata msisimko wa mapenzi

Maulidi kitenge: Wanawake wajipaka tumbaku sehemu za siri kupata msisimko wa mapenzi

Kwahiyo itakuwa alipewa huduma first class akapagawa πŸ™Š

Ila unawapopoa mawe vijana wenzako, watakuazimia kwenye vikao vyao πŸ˜…
Wala sio kupopoa
Tatizo hawjatulia kabisaa wanawapanga hata 10 na hamjuani.
Sa maisha haya ukapangwe inahusu
Mwisho kufa na ukimwi bure
 
Wala sio kupopoa
Tatizo hawjatulia kabisaa wanawapanga hata 10 na hamjuani.
Sa maisha haya ukapangwe inahusu
Mwisho kufa na ukimwi bure
Poleni, kwa maisha ya Sasa ukiwa na uwezo wa kuwa na Wanawake 2 tu lazima Uchumi Uyumbe sasa ndiyo uwe nao 10 si utafirisika kabisa.

Ndiyo maana Vijana wengi wanalalamika maisha magumu
 
Poleni, kwa maisha ya Sasa ukiwa na uwezo wa kuwa na Wanawake 2 tu lazima Uchumi Uyumbe sasa ndiyo uwe nao 10 si utafirisika kabisa.

Ndiyo maana Vijana wengi wanalalamika maisha magumu
Kama we hukuweza basi wenzio wanaweza
 
Absolutely ingawa miaka yetu hakukuwa sana na matumizi ya hela kwenye mahusiano tofauti na sasa as kila kitu kilikuwa real.
Hata sasa unadhan ni wanaume wote wanaotumia hela?
Anawapanga wanawake na wote anaigiza kwamba anawaoa so anamega tu bila wasi wasi
 
Hata sasa unadhan ni wanaume wote wanaotumia hela?
Anawapanga wanawake na wote anaigiza kwamba anawaoa so anamega tu bila wasi wasi
Hahaha.............wakija kushtuka inakuwa too late πŸ™ŒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Mbona imekua ghafla sana...hii mbinu imegundulika lini tena jmn[emoji23]
 
Nilidhani huwezi hesabu za Magazijuto, tafadhali usiseme kwa mwingine nitakununulia Chocolate πŸ€—πŸƒπŸƒπŸƒ
Hii chocolate leo au?kesho tunafunga sisi πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee ushetani Una ujua? Km hujui unajibu hujui.
Sasa povu LA nn??
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ‘†
Watakatifu katika ubora wao
 
Hivi hata unajua anachoweka chini majay?
Kinachomdatisha hadi ameshindwa kabisa kabisa ??
Anaponda wakati na yeye mwenyewe hajui kinachowekwa huko.
Haya maisha ni mapana sana...umdhaniye mtakatifu nae ana dark side yake..
 
Don't be that serious mkuu
Kwanza hiyo kauli sio yangu ndo maana nimeweka na mtoa kauli
Pili wanawake wanaweka hadi chumvi za mawe na madawa kibao ya kichina kunako. Me nawaona sana na ndo maana siku hizi madimbwi mengi.
Yani wakisikia tu atakuwa mnato haooo wanaenda kichwa kichwa kuweka. Wasijue kwamba mnato ni asili ya mtu.
Asante. Huwa nikiona mambo ya takwimu nayachukulia seriously kama yalivyomaanishwa. Kwa shauku tu, jee wewe binafsi uliwahi kujaribu? Vipi matokeo yake?
 
Back
Top Bottom