Maumivu katika Magoti

mjinga

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2008
Posts
328
Reaction score
131
Wana JF, tangu mwaaka jana ninasumbuliwa sana na maumivu ya magoti. Madaktari ambao nimewaona wameshindwa kunipa ufumbuzi. Maumivu huwa yananinza Mara ninapocheza mpira Mara kwa Mara. Maumivu yakinianza inaniwia vigumu hata kupanda ngazi. Naomba Msaada wenu wataalamu
 
mkuu kama unatumia punyetu ahca kabisaaa, punyeto ni moja ya sababu ya maumivu ya goti:eyebrows::eyebrows:
 
mkuu kama unatumia punyetu ahca kabisaaa, punyeto ni moja ya sababu ya maumivu ya goti:eyebrows::eyebrows:

Mkuu mbona nimeoa kaka. Umri wangu sio wa punyeto
 
Wewe una hitaji regular exercising. Hiyo kucheza kimanati ndiyo inayo kuletea maumivu.
 
Maumivu kwenye viungo mara nyingi usababishwa na kuumia kwa hayo maeneno yanayo uma, na kusababisha ligaments, pamoja na vilainishi kwenye viungo kulika na kusababisha maumivu, na hii upelekea zile elastic tissue na mifupa kupata msuguano na kusababisha maumivu... Hali hii ikiendelea itasababisha uvimbe ndani kwenye magoti na kupata ugonjwa wa arthritis na madhara mengine mabaya kama vile kuvimba kwa tissue, na kukusababisha madhara ya muda mrefu sana.

Ushauri ni kuwaona wataalam wa viungo kabla mambo hayaja haribika, maumivi ya viungo mara nyingi uchukuwa miaka mingi sana kupona. Usitishike, kwani ujachelewa sana, waone wataalam watakusaidia.
 
Asante kwa Ushauri, unaweza Kunipa Ushauri wa kumwona dr? Yaani hospitali na Jina la daktari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…