Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,165
Habari wakuu,
nina siku kama tatu kila niamkapo nasikia maumivu makali kiunoni?je inasababishwa na nini?na dawa yake ni nini?
Ahsanteni
nina siku kama tatu kila niamkapo nasikia maumivu makali kiunoni?je inasababishwa na nini?na dawa yake ni nini?
Ahsanteni