MPEPE
Senior Member
- Oct 20, 2012
- 155
- 65
Mwaka jana nilipanda bodaboda, gafla bodaboda ile ikaanguka na mimi nikafanikiwa kuruka na kumwacha dereva na ile toyo.
Mara baada ya kuruka nilijisikia maumivu kwa mbali maeneo ya goti lakini nikayapotezea.baada ya wiki moja maumivu yaliisha kabisa na nikawa na uwezo wa kukimbia kilomita 20. Lakini tangu jana maumivu yamerudia tena. Sasa sijui tatizo nini na nifanyeje?
Nimepumzika zoezi kabisa.nisaidieni jamani
Mara baada ya kuruka nilijisikia maumivu kwa mbali maeneo ya goti lakini nikayapotezea.baada ya wiki moja maumivu yaliisha kabisa na nikawa na uwezo wa kukimbia kilomita 20. Lakini tangu jana maumivu yamerudia tena. Sasa sijui tatizo nini na nifanyeje?
Nimepumzika zoezi kabisa.nisaidieni jamani