Maumivu kwenye penis

genious wa kijiji

Senior Member
Joined
May 1, 2014
Posts
173
Reaction score
249
Habari
Kwa siku kadhaa nimekuwa napata maumivu yasiyo makali wakati wa kukojoa na ninapotoa shahawa. Nimeangalia historia yangu mara ya mwisho kusex bila kondom ilikuwa august.
Msaada tafadhali
 
install penis mpya, iyo imekuwa used sana imepata kutu ndani
 
Naona siku hizi kuugua gonjwa la zinaa ni sifa..... matanagazo kibao
 
Habari
Kwa siku kadhaa nimekuwa napata maumivu yasiyo makali wakati wa kukojoa na ninapotoa shahawa. Nimeangalia historia yangu mara ya mwisho kusex bila kondom ilikuwa august.
Msaada tafadhali
ndo ushapata pangusa ivo ukichelewa tu kitabaki nukta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…