Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Salamu kwenu wana MMU,
Karibuni sana katika hili kuna kitu naomba mnijuze enyi ndugu zangu. Kuna mtu mmoja yapata wiki moja sasa anasumbuliwa na uume. Nihivi kila akimaliza kukojoa mkojo( huu wa kawaida huu) uume huwa unamuuma sana kwa ndani badae ile hali inaacha. Akikojoa tena vivo hivo. Yeye alisikia kuwa hiyo ni dalili mojawapo ya magongwa ya zinaa japo hana uhakika kwani yeye anadhani labda ni kutokana na kufanya mapenzi sana.
Basi, kutokana na ya kusikia hali hiyo imejenga sintofahamu baina yake na mwenzi wake kwani yapata miezi mitano sasa tangu waanze ishi na mwenzie wakishiriki tendo la ndoa. Huyo kaka moja kwa moja alihisi kuwa eiza yeye au mwenzie kuna pahala alichepuka akazoa hiyo zinaa. Mume alivumilia kwa mda fulani akidhani hiyo hali itaacha lakini sivyo.
Ndipo alipomweleza mkewe kuwa kuna tatizo linanisumbua kwa mda fulani sasa na nafikiri kuna kitu kilifanyika labda wewe au mimi. Hebu tukae tuelezane ukweli.Mimi nitasema ukweli wote bila kuficha nawewe pia uwe muwazi. Walikaa chini na kuelezana bayana ambapo mkewe alikiri kuwa amekuwa mwaminifu kwa mumewe huyo kwa kipindi chote.
Vivo hivo mumewe nae alikiri wazi kuwa kuna mabinti wengi wanamtega mtega ila mmoja ndie alitaka kumwingiza mtegoni kwa asilimia 90 and "surely it was going to happen" nivile tu roho ilikua inamsuta ikawa baaasssi. Ukweli huo wa mumewe ulimuumiza sana mkewe kwani hiko kibinti kilikua kinakuja mke akiwepo na muda mwingine mke ndiye aliyekua akimpigia simu mumewe kumwambia kina fulani wamekuja nahivo mume anarudi haraka nyumbani kwa wageni hao kwani kulikua na shida fulani iliyowaleta ambayo ilijulikana kwa wote.
Pia kuna kipindi binti huyo alikua anakuja pekeake hata siku ambazo hawafundishwi mume anamwambia mke amuandalie mgeni huyo chai na mkate au kahawa (jioni jion mkoa fulani wa nyanda za baridi) mke bila kujua the other side of the coin anafanya hivo akijua ni ukarimu tu.Kilichomuumiza zaidi mke kuna wakati mume alipomaliza shida yao aliwasindikiza mpaka kwao mkewe kwa imani tu kuwa mume anasindikiza wageni wetu kumbeeeee!
Na hakukuwa na haja ya kusindikizwa mana walikua watatu mabinti wawili na kijana wakiume mmoja wala kupikiwa chai kwani shida yao ilikuwa ni kufundishwa tu (TUITION) Ukweli huo wa "surely it was going to happen ila basi tu" umemfanya mke asimwamini tena mumewe huyo mwalimu japo mume anasema binti ndiye aliyekua anamtega wala yeye hakumtongoza na alinusurika kidogo tu binti amgee. Tangu bayana hiyo mke amekosa kabisa hisia na mumewe kwani hapo awali kwasiku mke alihitaji mara kwa mara sasa imekua kinyume hataki hata kusikia ila wanafanya ilimradi tu mke hana imani kama alipona mtu yawezekana mume hakusema ukweli wote. THE TRUTH WILL SET YOU FREE
Ila ndoivo mke imemuuma sana kwani kipindi kile kile hakumueleza leo yamemsibu ya dudu ndo kufunguka eti. Mumewe huyo mwalimu amekuwa na mazoea na wanafunzi wake wakike kupitiliza. Kwenye simu yake kuna namba za madent kumi si kidogo na muda mwingine huchati nao usiku mara kwa mara mpaka kugombana na mkewe kwa hilo.Kuna denti mwingine alimwomba namba za wazazi wake eti anawashauri juu ya watoto wao
Khakhakhaaaaaa hhaloooooooooooooo! Hana lolote kitombi tu yule darasa mixa anawaona KE tu ebooo! Au tuseme KE ndo vilaza darasani kwake mhmh (mi sijui). Na washagombana sana na mkewe kwa hilo la videnti.Niacheni nacheke tu kwakweli kha khaa eti ticha alimuuliza denti anapenda masomo gani ili ajue jinsi ya kumsaidia akasema Geog B/k na Civics teh what a combinenga jaman au ndo CBG huhuuu. Kwa CBG hii ticha mhmhmhmhmhmhmhm.
Achilia mbali videnti sometimes hugombana na mkewe kwa kupenda kuchati kwa sms za kawaida whatsapp au hata kuongea na wadada mara kwa mara wakiwa na mkewe. Wakikaa kidogo tu sms kidogo tu sms wanarumbana mpaka ticha anaona aibu anaweka simu silence. Mtaani sasa ndo balaa tupu baa zote zenye wahudumu KE yaleyaleeeeh amewazoea mnooooooooo.Hivi ni wanaume wote mpo hivi? Je ni kweli kuwa hiyo ni dalili mojawapo ya magongwa tajwa au ni tatizo jingine? Je ni tatizo gani hilo jingine? Je ni dalili gani nyingine za magongwa hayo ya zinaa? Na mke afanyeje kurudisha hisia kwa mume ili wafurahi kama zamani?
Toa maoni na ushauri
Karibuni sana katika hili kuna kitu naomba mnijuze enyi ndugu zangu. Kuna mtu mmoja yapata wiki moja sasa anasumbuliwa na uume. Nihivi kila akimaliza kukojoa mkojo( huu wa kawaida huu) uume huwa unamuuma sana kwa ndani badae ile hali inaacha. Akikojoa tena vivo hivo. Yeye alisikia kuwa hiyo ni dalili mojawapo ya magongwa ya zinaa japo hana uhakika kwani yeye anadhani labda ni kutokana na kufanya mapenzi sana.
Basi, kutokana na ya kusikia hali hiyo imejenga sintofahamu baina yake na mwenzi wake kwani yapata miezi mitano sasa tangu waanze ishi na mwenzie wakishiriki tendo la ndoa. Huyo kaka moja kwa moja alihisi kuwa eiza yeye au mwenzie kuna pahala alichepuka akazoa hiyo zinaa. Mume alivumilia kwa mda fulani akidhani hiyo hali itaacha lakini sivyo.
Ndipo alipomweleza mkewe kuwa kuna tatizo linanisumbua kwa mda fulani sasa na nafikiri kuna kitu kilifanyika labda wewe au mimi. Hebu tukae tuelezane ukweli.Mimi nitasema ukweli wote bila kuficha nawewe pia uwe muwazi. Walikaa chini na kuelezana bayana ambapo mkewe alikiri kuwa amekuwa mwaminifu kwa mumewe huyo kwa kipindi chote.
Vivo hivo mumewe nae alikiri wazi kuwa kuna mabinti wengi wanamtega mtega ila mmoja ndie alitaka kumwingiza mtegoni kwa asilimia 90 and "surely it was going to happen" nivile tu roho ilikua inamsuta ikawa baaasssi. Ukweli huo wa mumewe ulimuumiza sana mkewe kwani hiko kibinti kilikua kinakuja mke akiwepo na muda mwingine mke ndiye aliyekua akimpigia simu mumewe kumwambia kina fulani wamekuja nahivo mume anarudi haraka nyumbani kwa wageni hao kwani kulikua na shida fulani iliyowaleta ambayo ilijulikana kwa wote.
Pia kuna kipindi binti huyo alikua anakuja pekeake hata siku ambazo hawafundishwi mume anamwambia mke amuandalie mgeni huyo chai na mkate au kahawa (jioni jion mkoa fulani wa nyanda za baridi) mke bila kujua the other side of the coin anafanya hivo akijua ni ukarimu tu.Kilichomuumiza zaidi mke kuna wakati mume alipomaliza shida yao aliwasindikiza mpaka kwao mkewe kwa imani tu kuwa mume anasindikiza wageni wetu kumbeeeee!
Na hakukuwa na haja ya kusindikizwa mana walikua watatu mabinti wawili na kijana wakiume mmoja wala kupikiwa chai kwani shida yao ilikuwa ni kufundishwa tu (TUITION) Ukweli huo wa "surely it was going to happen ila basi tu" umemfanya mke asimwamini tena mumewe huyo mwalimu japo mume anasema binti ndiye aliyekua anamtega wala yeye hakumtongoza na alinusurika kidogo tu binti amgee. Tangu bayana hiyo mke amekosa kabisa hisia na mumewe kwani hapo awali kwasiku mke alihitaji mara kwa mara sasa imekua kinyume hataki hata kusikia ila wanafanya ilimradi tu mke hana imani kama alipona mtu yawezekana mume hakusema ukweli wote. THE TRUTH WILL SET YOU FREE
Ila ndoivo mke imemuuma sana kwani kipindi kile kile hakumueleza leo yamemsibu ya dudu ndo kufunguka eti. Mumewe huyo mwalimu amekuwa na mazoea na wanafunzi wake wakike kupitiliza. Kwenye simu yake kuna namba za madent kumi si kidogo na muda mwingine huchati nao usiku mara kwa mara mpaka kugombana na mkewe kwa hilo.Kuna denti mwingine alimwomba namba za wazazi wake eti anawashauri juu ya watoto wao
Khakhakhaaaaaa hhaloooooooooooooo! Hana lolote kitombi tu yule darasa mixa anawaona KE tu ebooo! Au tuseme KE ndo vilaza darasani kwake mhmh (mi sijui). Na washagombana sana na mkewe kwa hilo la videnti.Niacheni nacheke tu kwakweli kha khaa eti ticha alimuuliza denti anapenda masomo gani ili ajue jinsi ya kumsaidia akasema Geog B/k na Civics teh what a combinenga jaman au ndo CBG huhuuu. Kwa CBG hii ticha mhmhmhmhmhmhmhm.
Achilia mbali videnti sometimes hugombana na mkewe kwa kupenda kuchati kwa sms za kawaida whatsapp au hata kuongea na wadada mara kwa mara wakiwa na mkewe. Wakikaa kidogo tu sms kidogo tu sms wanarumbana mpaka ticha anaona aibu anaweka simu silence. Mtaani sasa ndo balaa tupu baa zote zenye wahudumu KE yaleyaleeeeh amewazoea mnooooooooo.Hivi ni wanaume wote mpo hivi? Je ni kweli kuwa hiyo ni dalili mojawapo ya magongwa tajwa au ni tatizo jingine? Je ni tatizo gani hilo jingine? Je ni dalili gani nyingine za magongwa hayo ya zinaa? Na mke afanyeje kurudisha hisia kwa mume ili wafurahi kama zamani?
Toa maoni na ushauri