cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 652
Ndugu yangu wa kiume 40 yrs anapata maumivu makali sana chini ya kitovu kushoto hasa anapokaa na anapolala. Amepima figo wamesema hamna kitu, amepima mkojo na choo hamna kitu, ila ultra sound wanasema ukuta wa kibofu ni mnene sana.
Je, ni ugonjwa gani na tiba ni ipi?
Je, ni ugonjwa gani na tiba ni ipi?