Maumivu makali ukeni

Je na wewe huwa umejiandaa kisaikolojia na akikuaandaa ule ute hukutoka?? Mana ka hautoki inakuwa hormones hazijasisimkwa vzuri au either mwanaume ana umbile kumbe kiasi huenda kusuka kizazi ndo mana unaumia?
Hana umbile kubwa, na ananiandaa vzr mpaka nalowana tatzo akianza tu
 
Hana umbile kubwa, na ananiandaa vzr mpaka nalowana tatzo akianza tu
Hapo kna matatizo ya infections, kamuone dk. wa magonjwa ya wanawake... Tiba asilia ndo mpango, muone dk.mwaka au rusigwa
 
Reactions: THT
Hiyo dawa ni uongo niliitumia ndo kwanza UTI ikawa sugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…